CHADEMA Arusha kuweni makini na haya

CHADEMA Arusha kuweni makini na haya

gagonza

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2009
Posts
309
Reaction score
98
Kutakuwa na uchaguzi mdogo wa madiwani watano wale waliofukuzwa na CHADEMA,uchaguzi utaitishwa hivi karibuni,CCM wamejipanga kuhakikisha wanaendelea kumiliki manspaa ya arusha,watatumia mbinu hizi,

1 kununua wagombea wa CHADEMA wajitoe dakika za mwisho,

2 kupandikiza mamluki ndani ya CHADEMA,

3 kuteka wagombea wa CHADEMA ili wasirudishe siku ya mwisho.

CCM wanaitaji madiwani wawili tu ili waendelee kumiliki manspaa, lakini kama CHADEMA itashinda viti vyote 5 basi wanaweza kumtoa meya na uchaguzi huo ukafanyika ili kumpata meya mwingine.
 
Hii ni tetesi au ni uhakika? Mbinu hizo ulizozisema tayari zimeshazoeleka na zilifanikiwa 2010 ambapo wahombea wengi wa CDM walikuwa bado wapo kizani. Nadhani kwa Arusha vijana wapo wengi ambao wanasubiri nafasi kama hizo hivyo sidhani mbinu kama hizo chafu zinaweza kushinda.

Cc Mungi, Nanyaro Ephata, yegella,
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: MTK
Tupo makini sana mkuu,Arusha hawa wezi magamba wamebaki historia..waitisha hata leo waone cha moto.
 
uko arusha na moshi si ndiko nasikia wa,meamka siku nyingi.haya unayosema si ya singida.
 
Arusha ya leo sio ile ya juzi..chadema imechuja kutokana na fujo alizokuwa anaziendesha lema. Watu wameamka
 
Arusha ya leo sio ile ya juzi..chadema imechuja kutokana na fujo alizokuwa anaziendesha lema. Watu wameamka

arusha tupo sisi,tuachie mambo yetu.chadema ipo imara kuliko unavyodhani.jipe tumaini tuu.HABARI ya Kilwa mkuu
 
uko arusha na moshi si ndiko nasikia wa,meamka siku nyingi.haya unayosema si ya singida.

Siyo kwamba wameamka, mwenye CHADEMA anatokea huko, mwenyekiti wa CHADEMA anatokea huko, katibu mkuu wa CHADEMA anatokea huko. Ukiwa nje ya Kilimanjaro na Arusha halafu ukajiita "kamanda", wenye chama chao (Arusha & Kilimanjaro) wanakuwa wanakung'ong'a.
 
Hii ni tetesi au ni uhakika? Mbinu hizo ulizozisema tayari zimeshazoeleka na zilifanikiwa 2010 ambapo wahombea wengi wa CDM walikuwa bado wapo kizani. Nadhani kwa Arusha vijana wapo wengi ambao wanasubiri nafasi kama hizo hivyo sidhani mbinu kama hizo chafu zinaweza kushinda.

Cc Mungi, Nanyaro Ephata, yegella,

hiyo ni uhakika mkuu nanyaro,hapa kata ya themi watu wa ccm kama kina lobora wanaweka vikao usiku kupanga hayo mambo.
 
Last edited by a moderator:
Tupo makini sana mkuu,Arusha hawa wezi magamba wamebaki historia..waitisha hata leo waone cha moto.

Tatizo lenu CHADEMA ni kuPanic. Lakini siwezi kukushangaa kwavile hata Dr. Slaa huwa anaPanic sana hadi hufikia kipindi mate yanaanza kumtoka mdomoni.
 
Tatizo lenu CHADEMA ni kuPanic. Lakini siwezi kukushangaa kwavile hata Dr. Slaa huwa anaPanic sana hadi hufikia kipindi mate yanaanza kumtoka mdomoni.

jina lako lenyewe lajieleza kuwa wewe na Mwigulu mnafadhili vikundi vya kigaidi..KINANA mwenyewe anatoka Arusha ila akipita hapa hakuna anaempapatikia.
 
jina lako lenyewe lajieleza kuwa wewe na Mwigulu mnafadhili vikundi vya kigaidi..KINANA mwenyewe anatoka Arusha ila akipita hapa hakuna anaempapatikia.

Mh. Mwigulu amewashika pabaya kwa kweli. Mkisinzia ni Mwigulu, mkilala ni mwigulu, mkiamka ni Mwigulu, mkikaa ni Mwigulu, mkisimama ni Mwigulu, mkitembea ni Mwigulu, mkichuchumaa ni Mwigulu, mkila ni Mwigulu, mkinywa ni Mwigulu.

Na huu ni mwanzo tu! Bado mengi yanakuja. Kuliko kuendelea kuwalaghai wananchi ni bora muingie msituni mkashike bunduki ili tujue kabisa kwamba chama chenu ni kikundi cha waasi.
 
Sumu na wenzako nawajulisha kuwa hapa Arusha CHADEMA ni zaidi ya chama. Tunaifananisha na dini mpya ambayo waumini wake wana msimamo. Kama huamini njoo muda wa uchaguzi mdogo wa madiwani uta-prove.

BTW habari za hapo LUMUMBA vipi? Ushapata posho?
 
Last edited by a moderator:
CCM hawana jipya,Kwa Arusha CCM itashikishwa Adabu na CHADEMA.Let's us wait.
 
Back
Top Bottom