CHADEMA, anzisheni TV/Radio Station!

I really support because Chadema sasa kimekua na kinahitaji kuwafikia wanachama na mashabiki wengi zaidi, pia hayo yatakuwa maandalizi muafaka ya kukamata nchi 2015.

Wenzetu CCM wanvyo vingi tu kama Uhuru, Mtanzania, nagazeti yote ya "serikali", Cloudsfm, radio Uhuru, ITV, na vingine vingi. Inatupasa kutangaza sera zetu kwa uwazi kama vile uozo wa katiba hii, jinsi serikali yetu itakavyokuwa (ukubwa wake), mipango ya maendeleo ya muda mfupi na mrefu.

Infact tusitegemee vyombo hivi leo kueleza yote tuliyonayo zaidi ya kuwa navyo vyetu.

Slaa, Mbowe naamini mna mikakati mizito ya kuitoa Tz kwenye hili dimbwi la umaskini naomba hili pia liwe ktk ajenda za chama. Peoples Power!!
 
Haitawezekana waulize Mwananchi Kommunications wameishia wapi maana hata wao walitaka kuanzisha TV pamoja na Klauds, walituma maombi TCRA lakini Klauds wameruhusiwa na sasa wana TV lakini kutokana na sababu zisizo zuilika maombi ya Mwananchi bado yanafanyiwa kazi karibu mwaka sasa. Hii nahisi inatokana na mitazamo iliyonayo Mwananchi dhidi ya Chama cha Mafisadi
 
I am supporting your idea! its time for a change, lets now act accordingly.
 
Toka lini chadema wametangaza sera na malengo ya chama chao? na hata ikianzishwa sioni kama itakua na jipya zaidi ya kuhamasisha vurugu ambazo hatuzitaki sasa hivi!
Ikiwa hamzitaki hizo vurugu sasa hivi! mtazitaka lini?????
 
Ni wazo zuri sana!lakini wasiwasi wangu ni urasimu katika kusagili ambao na uhakika serikali ya CCM haitokubali kiuraisi!!
 
Nakuunga mkono. Mbona CCM wana Radio Uhuru?, Magazeti ya uhuru, mzalendo nk.. Ni ki2 cha kawaida
 
kalagabaho,kishongo, na Dar es salaam ni watu wapuuzi sana
 
Naunga mkono hoja, watanzania wengi tunaopenda mabadiliko na ukombozi tuko tayari kuchangia. mchakato uanze
 
Back
Top Bottom