CHADEMA: Anguko kanda ya ziwa mashariki

CHADEMA: Anguko kanda ya ziwa mashariki

vichaa wasioitakia mema nchi hii ndio hushabikia chadema,hongereni kwa kulitambua hilo mimi kitambo sana

wameunda kanda ya ziwa mashariki,mkoa wa shinyanga,simiyu na musoma,wakatangaza nafasi ya katibu wa kanda,mratibu na dreva wa kanda kwa ajili ya M4C wakasema lazima wawe wakazi wa maeneo hayo wonderful enough wachaga walikuwa washapewa nafasi zamaniii,ndo maana kanda hii imekufa kabisa
 
Akiki yako sawa ya kikwete rais wa wachofu wa tz, shame upon you. Chadeama haitaanguka milele.
Ccm na ujangili wao mwisho utashuhudia live

wewe -------- umelewa mvinyo wa siasa hakuna chama kitakachodumu milele zaidi ya chama cha Yesu,Mungu wa mbinguni na uatawala wake ndivyo vitalavyodumu milele
 
kweli nimeamini,hata waliopo kanda ya ziwa ni walewale....acha warushe matuasi lakin ukweli ni laizma usemwe ili kuwe na mabadiliko,tatizo la wenzangu ukigusia chadema unaitwa puppet wa ccm...kwahyo mnataka chadema tuisifu tu? Hata wanapofanya isivyo sisi tusifu tu? Hapana kwakweli acheni hivyo,muda mwingine na sisi tujikosoe ili tubadilike zaidi

Kweli mkuu kukosolewa hakumaanishi huwezi. Cdm wakati mwingine mkubali then mnarekebisha. Kwa staili ya kukataa kukosolewa mtasubiri sana. Huu ndiyo ukweli. Njooni mtukane...
 
Hata namna yako ya kuandika inadhihirisha unaandika kitu usichokijua au umeamua kutunga uongo. Weka facts unazofikiri unazo, kisha utajibiwa kwa hoja ili upate ukweli.

Vinginevyo usitunge maneno.

Huwa nahisi wafuasi ndiyo hawakubali kukosolewa. Kumbe hata wewe mkuu hupendi kukosolewa. Mkishika nchi si itakuwa majanga.
 
wajinga wakubwa,mnataka tusiiongelee chadema kwa misingi ipi? After all mnaozungumza hampo maeneo haya,mnataka tusiseme ujinga unaofanyika ndani ya chadema? Huu ni ujinga na upuuzi,kwahyo issue ya kujadili ni ya ccm tu,chadema tusiseme? Stupid mind

Wape mkuu. Ukiikosoa cdm wanakuita mccm. Haya madudu ya cdm lazima yasemwe.
 
Wape mkuu. Ukiikosoa cdm wanakuita mccm. Haya madudu ya cdm lazima yasemwe.

kwa namna hii ya kutulazimisha kusifu chadema hata kama wanafanya madudu basi mimi nitakihama chama hiki!
 
Kumekuwa na kanda mbalimbali za cCHADEMA,hali ni tofauti sana kanda ya ziwa maahariki ambayo kinyume na utaratibu ina viongozi kutoka mikoa tofauti na kanda hii,kwa mpango huu wa CHADEMA itakuwa ngumu kuwang'oa akina cheyo,chenge,masele,maige,mpina,nyangwine na wengineo,nashangaa chama kilitangaza nafasi za vijana wazibe nafasi za uongozi wa M4C cha ajabu hakuna kilichofanyika,walijipachika kama kawaida yao--

Hakuna jipya unaloliandika wala kujadili sababu ni wazi inaonekana kuwa hauna uhakika hata kidogo na jambo unalolijadili kutokana na sababu zifuatazo;
1. Ni wazi kuwa CHADEMA ndicho chama kinachokubalika kwa jimbo kama SHINYANGA mjini hatua ya sasa hata wazee wabishi kuelewa wameanza kuhama ccm japo wanapewa khanga na KOFIA, ni dalili tosha kuwa MASELE hana chake tena na hakika ni miengwe tu ndiyo iliyomuweka kuwa mbunge na si ushindi halali.
2. Kwa upande wa nyangwine ambaye kwa hakika mwenye busara na bahati ya kupewa akili yenye mtazamo chanya atakuwa ameshagundua kuwa hana la kujivunia kutokana na tabia ya kushindwa kutetea wananchi. Hivyo kwa wananchi hawa haswa wa Tarime ni wazi kuwa kuna ukakasi kusema kuwa anakubalika kwa wananchi wake.
3. Mtoa hoja hana sababu za msingi kusema kuna ugumu wa CHADEMA kufanya mabadiliko wakati wananchi wananchi wanahitaji mabadiliko ya kweli. kwa msingi huo basi ni Rahisi kusema kuwa CHADEMA kinaweza kubadilisha mawazo ya mtoa hoja kuliko vile anavyofikiria ANGUKO linakuja tena limetimia wananchi Tumechoka na hali ya mfumo wa ccm katika hatua za kinyonga katika kuleta mabadiliko.
 
Kweli jamaa anasema kweli. Ila cdm hawapendi kukosolewa. Ukiwakosoa tu eti wewe ni msaliti.
 
Back
Top Bottom