Sauti ya Umma
Member
- Aug 26, 2010
- 40
- 24
Katibu mkuu wa chama cha sauti ya umma (SAU) ndugu MAJALIO KYARA, akiwa katika kipindi cha front page cha global tv amesema kuna vyama vinasababisha watanzania tuchelewe kufika katika nchi ya ahadi nchi ya maziwa na asali
---
Chama cha Sauti ya Umma (SAU) kupitia Katibu Mkuu wake, Majaliwa Kyara kimedai kuwa vyama wenza vya upinzani ndiyo kikwazo cha wao kuingia ikulu.
Kyara amefika mbali na kuvitaja CHADEMA na ACT Wazalendo kuwa ndiyo kizingiti chao kikubwa cha kutinga Ikulu kupitia uchaguzi mkuu.
Mjadala huo mzito umefanyika Machi 17, 2025 kupitia kipindi cha uchambuzi cha FRONT PAGE kinachorushwa kupitia Global Tv Online.
---
Chama cha Sauti ya Umma (SAU) kupitia Katibu Mkuu wake, Majaliwa Kyara kimedai kuwa vyama wenza vya upinzani ndiyo kikwazo cha wao kuingia ikulu.
Kyara amefika mbali na kuvitaja CHADEMA na ACT Wazalendo kuwa ndiyo kizingiti chao kikubwa cha kutinga Ikulu kupitia uchaguzi mkuu.
Mjadala huo mzito umefanyika Machi 17, 2025 kupitia kipindi cha uchambuzi cha FRONT PAGE kinachorushwa kupitia Global Tv Online.