CHADEMA acheni usharobaro

CHADEMA acheni usharobaro

GeniusBrain

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
4,315
Reaction score
309
CHADEMA wamedhihirisha ya kwamba wao ni :
1. Waroho wa madaraka
2.Hawako kwa ajili ya maslahi ya Taifa bali ya binafsi zaidi
3. Kutokuwa na maamuzi sahihi, kwa maana hiyo basi utoto unawasumbua
4. Kuweka udini na ukabila mbele kuliko maslahi ya taifa
5. Kutowatendea haki wananchi walio wachagua, kwa kutowawakilisha bungeni ipasavyo
6. Kutofanya kazi zao kwa weledi na kufuata mkumbo na maneno ya vijiweni

Kwa usharobaro huu CDM si chama cha siasa ni kikundi cha wajanja wachache wenye maslahi yao binafsi
 
duh....operesheni sangara bana
 
Thibitisha! Inaonekana kabisa uwezo wa kuchambua mambo ni mdogo sana ndio maana unawaita CHADEMA masharobaro.. acha:blah:
 
CHADEMA wamedhihirisha ya kwamba wao ni :
1. Waroho wa madaraka
2.Hawako kwa ajili ya maslahi ya Taifa bali ya binafsi zaidi
3. Kutokuwa na maamuzi sahihi, kwa maana hiyo basi utoto unawasumbua
4. Kuweka udini na ukabila mbele kuliko maslahi ya taifa
5. Kutowatendea haki wananchi walio wachagua, kwa kutowawakilisha bungeni ipasavyo
6. Kutofanya kazi zao kwa weledi na kufuata mkumbo na maneno ya vijiweni

Kwa usharobaro huu CDM si chama cha siasa ni kikundi cha wajanja wachache wenye maslahi yao binafsi
Sishangai watu kama wewe,ipo siku watanzania wataamka na kuwatambua wapenda madaraka na walaghai wa kisiasa,mmeinunua cuf znz sasa hivi mnaitumia kuvuruga upinzani bara,siku zenu zinahesabika
 
CHADEMA wamedhihirisha ya kwamba wao ni :
1. Waroho wa madaraka
2.Hawako kwa ajili ya maslahi ya Taifa bali ya binafsi zaidi
3. Kutokuwa na maamuzi sahihi, kwa maana hiyo basi utoto unawasumbua
4. Kuweka udini na ukabila mbele kuliko maslahi ya taifa
5. Kutowatendea haki wananchi walio wachagua, kwa kutowawakilisha bungeni ipasavyo
6. Kutofanya kazi zao kwa weledi na kufuata mkumbo na maneno ya vijiweni

Kwa usharobaro huu CDM si chama cha siasa ni kikundi cha wajanja wachache wenye maslahi yao binafsi

hapa inaonesha ni jinsi gani ulivyo na mambo ya kiswahili hata katika hoja za misingi, nomba maana ya hilo neno hapo
 
Watu kama nyie ndiyo mnaofanya maisha ya watanzania yawe magumu sana.. Sasa wewe endeleo ila iko siku utapata akili na kujua kuwa chadema ndiyo mkombozi wako.
 
hapa inaonesha ni jinsi gani ulivyo na mambo ya kiswahili hata katika hoja za misingi, nomba maana ya hilo neno hapo

Hilo ni neno safi na zuri la kiswahili linalofaa kutumika kwa CDM, tafuta maana yake
 
yani weee ndo sufuria kabisaaaa! kwa mfano mrema eliatonga awe m/kiti wa kamati ya hesabu za serikali unategemea nini? na sisiemu wanataka hao ndo wakamate hvo vyeo ili waendelee kula nchi na kuna siri kubwa iko huko so wanaofia pipoozi pawa kuingia huko kwani watafichua uozo wao!!! unaweza danganya mtu au watu kwa cku kazaa tuuu ila hutoweza danganya cku zote!!! in GOD we trust
 
Watu kama nyie ndiyo mnaofanya maisha ya watanzania yawe magumu sana.. Sasa wewe endeleo ila iko siku utapata akili na kujua kuwa chadema ndiyo mkombozi wako.

CHADEMA ni wakandamizaji wa demokrasia na wenye ubinafsi wa hali ya juu, jukumu mlilo wapa hawaliwezi ndio maana wanatoka toka ovyo bungeni. Si ajabu hata mwanachama wao wakakutosa watu wa namna hii pindi watakapo pata madaraka
 
CHADEMA wamedhihirisha ya kwamba wao ni :
1. Waroho wa madaraka
2.Hawako kwa ajili ya maslahi ya Taifa bali ya binafsi zaidi
3. Kutokuwa na maamuzi sahihi, kwa maana hiyo basi utoto unawasumbua
4. Kuweka udini na ukabila mbele kuliko maslahi ya taifa
5. Kutowatendea haki wananchi walio wachagua, kwa kutowawakilisha bungeni ipasavyo
6. Kutofanya kazi zao kwa weledi na kufuata mkumbo na maneno ya vijiweni

Kwa usharobaro huu CDM si chama cha siasa ni kikundi cha wajanja wachache wenye maslahi yao binafsi
hapo red: sisi tuliokosa wabunge wa CDM majimboni mwetu inatuuma manake hatushiriki kibunge kuikomboa nchi. WABUNGE WA CDM WANAWAWAKILISHA MASIKINI/LALAHOI KWA UJUMLA. wa CCM+CUF wanawawakilisha mafisadi na wahujumu uchumi kama wewe
 
yani weee ndo sufuria kabisaaaa! kwa mfano mrema eliatonga awe m/kiti wa kamati ya hesabu za serikali unategemea nini? na sisiemu wanataka hao ndo wakamate hvo vyeo ili waendelee kula nchi na kuna siri kubwa iko huko so wanaofia pipoozi pawa kuingia huko kwani watafichua uozo wao!!! unaweza danganya mtu au watu kwa cku kazaa tuuu ila hutoweza danganya cku zote!!! in GOD we trust

Nakupongeza kwa maneno yako kuthibitisha kuwa CHADEMA ni waroho wa madaraka ! Wabunge wote ni sawa, soma katiba na kanuni za bunge !
 
hapo red: sisi tuliokosa wabunge wa CDM majimboni mwetu inatuuma manake hatushiriki kibunge kuikomboa nchi. WABUNGE WA CDM WANAWAWAKILISHA MASIKINI/LALAHOI KWA UJUMLA. wa CCM+CUF wanawawakilisha mafisadi na wahujumu uchumi kama wewe

Ha ha haaaaaa, jamaa hawana kitu bana. Walitoka jana ila baada ya muda mfupi wakarudi. Sasa hata kutoka kwao hakukuwasaidia kitu kwani Azimio la bunge sasa linawabana na hawana budi kuwashirikisha wengine, Bunge hoyeeeeeeeeeeeeeeee kwa kuona mbali
 
CHADEMA wamedhihirisha ya kwamba wao ni :
1. Waroho wa madaraka
2.Hawako kwa ajili ya maslahi ya Taifa bali ya binafsi zaidi
3. Kutokuwa na maamuzi sahihi, kwa maana hiyo basi utoto unawasumbua
4. Kuweka udini na ukabila mbele kuliko maslahi ya taifa
5. Kutowatendea haki wananchi walio wachagua, kwa kutowawakilisha bungeni ipasavyo
6. Kutofanya kazi zao kwa weledi na kufuata mkumbo na maneno ya vijiweni

Kwa usharobaro huu CDM si chama cha siasa ni kikundi cha wajanja wachache wenye maslahi yao binafsi

umemaliza?
 
hivi hapo nani mroho wa madaraka kati ya cdm na cuf...kwann cuf walazimishe wawemo katika kambi?
 
Watu kama nyie ndiyo mnaofanya maisha ya watanzania yawe magumu sana.. Sasa wewe endeleo ila iko siku utapata akili na kujua kuwa chadema ndiyo mkombozi wako.

Maisha magumu unayafanya mwenyewe, kwani watakiwa kufanya kazi kwa bidii sio kutegemea vitu vya bure bure kwenye ilani ya CHADEMA, na wewe yaonekana unapenda vitu vya bure utao**wa shauri yako
 
CHADEMA wamedhihirisha ya kwamba wao ni :
1. Waroho wa madaraka
2.Hawako kwa ajili ya maslahi ya Taifa bali ya binafsi zaidi
3. Kutokuwa na maamuzi sahihi, kwa maana hiyo basi utoto unawasumbua
4. Kuweka udini na ukabila mbele kuliko maslahi ya taifa
5. Kutowatendea haki wananchi walio wachagua, kwa kutowawakilisha bungeni ipasavyo
6. Kutofanya kazi zao kwa weledi na kufuata mkumbo na maneno ya vijiweni

Kwa usharobaro huu CDM si chama cha siasa ni kikundi cha wajanja wachache wenye maslahi yao binafsi



Ndugu hayo ni majungu si hoja,hao wanaosinzia kila siku bungeni na utoro wa kuhudhuria vikao na hata jana viti kibao vilikuwa wazi ndio wanawakilisha? lakini angalia cdm 98% walikuwepo na itakuwa hivyo. sasa hapo nani anawakilisha wananchi! unajua kazi za wabunge weye au umeamua kuchonga tu humu:thinking:
 
CHADEMA wamedhihirisha ya kwamba wao ni :
1. Waroho wa madaraka
2.Hawako kwa ajili ya maslahi ya Taifa bali ya binafsi zaidi
3. Kutokuwa na maamuzi sahihi, kwa maana hiyo basi utoto unawasumbua
4. Kuweka udini na ukabila mbele kuliko maslahi ya taifa
5. Kutowatendea haki wananchi walio wachagua, kwa kutowawakilisha bungeni ipasavyo
6. Kutofanya kazi zao kwa weledi na kufuata mkumbo na maneno ya vijiweni

Kwa usharobaro huu CDM si chama cha siasa ni kikundi cha wajanja wachache wenye maslahi yao binafsi

Huo wimbo wa udini na ukabila hauuziki...jaribuni wimbo mwingine!!
 
hivi hapo nani mroho wa madaraka kati ya cdm na cuf...kwann cuf walazimishe wawemo katika kambi?

Hapo ni CDM wenzao kwenye bunge lililo pita walikuwa wengi, mbona wakila Slaa na Zitto walipewa madaraka ? CDM ni waroho sana wa madaraka
 
Back
Top Bottom