Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,291
Hilo ni neno safi na zuri la kiswahili linalofaa kutumika kwa CDM, tafuta maana yake
Na wewe ni sharobaro?
Hilo ni neno safi na zuri la kiswahili linalofaa kutumika kwa CDM, tafuta maana yake
Na huyo rais wako JK aliyemaliza hela kwenye mfuko wa Serikali kwa kutengeneza mabango yake ya campaign utamwitaje??? MBINAFSI NA MKANDAMIZAJI?? au wewe unamwona anakufaa..............jiangalie maisha yako yalivyo ya shida - na kama wewe ufisadi - angalia ndugu zako ..... angalia WATANZANIA walipofikishwa ........ nchi tajiri - watu maskini - TANZANIA TAJIRI - WATANZANIA MASKINI - kisa ufisadi - najua kauli zako zinaonyesha unauunga mkono malipo ya DOWANS - wake up!!!!!!! MUNGU AKUPE UHAI ILI CHADEMA WATAKAPOPATA MADARAKA UONE KAMA UTAKUWA MASKINI KAMA ULIVYO SASA.