Chadema acheni kabisa usanii

hata sisi tuliojazana kiasi cha kukosa sehemu ya kutema mate pale Gairo, Kilombero juzi, jana na leo ni picha ya 2010..............daaah, kweli mmerukwa na akili
 
Nimekuwa nikufuatilia mwenendo wa cdm hasa baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu mwaka 2010 , nilichogundua ni kwamba hiki chama kimekuwa kinatumia njia mbali mbali ili kuwahadaa watanzania kuwa cdm inapendwa na watanzania hasa kwa kufanya yafuatayo:
(i)kukusanya michango kutoka kwa wananchi maskini wa Tanzania.
(ii) kutumia picha za kampeni za uchaguzi wa mwaka 2010 na kuziweka kwenye magazeti na mitandao ya kijamii ili kuwadaa watanzania kuwa mikutano cdm inahudhuriwa na umati wa watu.
(iii).kulalama kwenye mikutano kuwa Tanzania ni nchi maskini sana bila ya wao kutoa njia mbadala ya kupunguza umaskini.
(iv).kuwa na matumizi yanayozidi mapato ya chama kwa mwezi.
Hapo kwenye RED CDM wanakusanya fedha waziwazi na zinaonekana na juhudi za matumizi yake zinaonekana, CCM wao wanatumia njia mbaya zaidi kukusanya fedha kupitia upandishaji wa bidhaa mbalimbali kama Sukari, Mafuta(Fuel), Vinywaji, Gharama za Umeme ambazo zinaonyesha ingawa Tz ni nchi masikini lakini tunaongoza kwa gharama za umeme kuwa juu,pia CCM wanatumia mbinu ya kupunguza bei za mazao (Pamba, Korosho) ili hao wanunuzi ambao wengi ni makada wa CCM wanunue na kuuza kwa bei ya juu ambayo pia watu hao hutoa michango mikubwa kwa CCM, kwa hiyo kwa maoni yangu CCM ndo inayokandamiza walahoi wa nchi hii kwani hata matumizi ya fedha hizo hatuyaoni zaidi ya kujitajirisha tu kwa viongozi wetu.
 
Nimekuwa nikufuatilia mwenendo wa cdm hasa baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu mwaka 2010 , nilichogundua ni kwamba hiki chama kimekuwa kinatumia njia mbali mbali ili kuwahadaa watanzania kuwa cdm inapendwa na watanzania hasa kwa kufanya yafuatayo:
(i)kukusanya michango kutoka kwa wananchi maskini wa Tanzania.
(ii) kutumia picha za kampeni za uchaguzi wa mwaka 2010 na kuziweka kwenye magazeti na mitandao ya kijamii ili kuwadaa watanzania kuwa mikutano cdm inahudhuriwa na umati wa watu.
(iii).kulalama kwenye mikutano kuwa Tanzania ni nchi maskini sana bila ya wao kutoa njia mbadala ya kupunguza umaskini.
(iv).kuwa na matumizi yanayozidi mapato ya chama kwa mwezi.

Tatizo lenu maproccm hamjitesi kwa fikra pevu,mawazo yenu ni light sana.
 
kwani lazima uandike unaweza kuchangia tu za wenzio,maana hueleweki unalalamika au unalia.
 
toa hoja mkuu, acha kulalamika.
Siasa ni sera za kueleweka sio visingizio na kulalama.
 
Nimekuwa nikufuatilia mwenendo wa cdm hasa baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu mwaka 2010 , nilichogundua ni kwamba hiki chama kimekuwa kinatumia njia mbali mbali ili kuwahadaa watanzania kuwa cdm inapendwa na watanzania hasa kwa kufanya yafuatayo:
(i)kukusanya michango kutoka kwa wananchi maskini wa Tanzania.
(ii) kutumia picha za kampeni za uchaguzi wa mwaka 2010 na kuziweka kwenye magazeti na mitandao ya kijamii ili kuwadaa watanzania kuwa mikutano cdm inahudhuriwa na umati wa watu.
(iii).kulalama kwenye mikutano kuwa Tanzania ni nchi maskini sana bila ya wao kutoa njia mbadala ya kupunguza umaskini.
(iv).kuwa na matumizi yanayozidi mapato ya chama kwa mwezi.

U could have done better than this. Kwa hiyo ndo umeandika nini?
 
masikin makupa nayd amepata ugonjwa huu tumuombee atapona maana hali yake ni mbaya.
 
Nimekuwa nikufuatilia mwenendo wa cdm hasa baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu mwaka 2010 , nilichogundua ni kwamba hiki chama kimekuwa kinatumia njia mbali mbali ili kuwahadaa watanzania kuwa cdm inapendwa na watanzania hasa kwa kufanya yafuatayo:
(i)kukusanya michango kutoka kwa wananchi maskini wa Tanzania.
(ii) kutumia picha za kampeni za uchaguzi wa mwaka 2010 na kuziweka kwenye magazeti na mitandao ya kijamii ili kuwadaa watanzania kuwa mikutano cdm inahudhuriwa na umati wa watu.
(iii).kulalama kwenye mikutano kuwa Tanzania ni nchi maskini sana bila ya wao kutoa njia mbadala ya kupunguza umaskini.
(iv).kuwa na matumizi yanayozidi mapato ya chama kwa mwezi.

Haki ya Mungu natamani nikutukane tusi kubwa...
 
Kwa hiyo magazeti yote yanatuunga mkono CHADEMA kiasi cha kukiuka maadili ya uandishi wa habari? Ama kweli ukiwa mwanaccm una asilimia kubwa ya kuwa Zobha!
 
Unamegwa


QUOTE=Makupa;4459420]Nimekuwa nikufuatilia mwenendo wa cdm hasa baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu mwaka 2010 , nilichogundua ni kwamba hiki chama kimekuwa kinatumia njia mbali mbali ili kuwahadaa watanzania kuwa cdm inapendwa na watanzania hasa kwa kufanya yafuatayo:


  1. kukusanya michango kutoka kwa wananchi maskini wa Tanzania.
  2. kutumia picha za kampeni za uchaguzi wa mwaka 2010 na kuziweka kwenye magazeti na mitandao ya kijamii ili kuwadaa watanzania kuwa mikutano cdm inahudhuriwa na umati wa watu.
  3. kulalama kwenye mikutano kuwa Tanzania ni nchi maskini sana bila ya wao kutoa njia mbadala ya kupunguza umaskini.
  4. kuwa na matumizi yanayozidi mapato ya chama kwa mwezi.
[/QUOTE]
 
Masikini magamba, wenzao wanafanya kazi ya siasa wao ni kazi waliyoizoea "MAJUNGU". Hivi mpaka lini mtatambua kwamba majungu si mtaji? CHADEMA songa mbele tumechangia, tunaendelea kuchangia na tutazidi kuchangia kwa manufaa ya nchi yetu.
"TANZANIA NCHI YANGU, BABU NA BIBI ZANGU WAMEZALIWA TANGANYIKA, BABA NA MAMA YANGU WAMEZALIWA TANGANYIKA, NIMEZALIWA TANZANIA, NIMESOMEA TANZANIA, NIMEOA MTANZANIA, NIMEBARIKIWA WATOTO WATANZANIA, NINAITUMIKIA TANZANIA KWA MOYO WANGU WOTE NA KWA AKILI ZANGU ZOTE, MTU AWAYE YOTE ANAYEIANGAMIZA MAMA TANZANIA NI ADUI YANGU NAMBARI MOJA". "NAIPENDA CHADEMA, KWANI NINA IMANI NA CHAMA HIKI, KWAMBA NDIYE MKOMBOZI PEKEE WA MAMA TANZANIA". "NINAICHUKIA CCM, MAANA NDIE SABABU KUU YA ANGUKO LA MAMA TANZANIA".
 
umetumwa nini! au ndo sera zenu zille zile za matusi kama ya lusinde? kama umechoka kanywe uji ukalale mpuuzi mkubwa wewe.
 
Back
Top Bottom