Bollo Yang
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 440
- 50
So that we can show your sorry ar.se what it is to be pounded real hard.
And this :mimba::mimba:is what we want you to be in few months.
Bwahahahahahahahahahahahaah Crap as usual...
So that we can show your sorry ar.se what it is to be pounded real hard.
And this :mimba::mimba:is what we want you to be in few months.
Pole sana Tundu Lissu, hizo tunaziona kama kauli ya mfa maji.... Ulitaka usikamatwe kwa tuhuma unazotuhumiwa? Acha uwoga wa mahabusu, huko panaitwa MTAKUJA. Kama ilivyo hospital.. Uende kustaki wewe kama nani hapo tarime na kwa hoja gani za msingi.. We kaa mahabusu, wenzio wanakusifia eti umaarufu wako unaongezea, haya endelea kijana, siasa si lele mama, nilikushausi tangu mwanzo pale uliponitaka ushauri kuhusu kuingia kwenye siasa... Nikakushauri kuwa mtu wa HAKI na uisimamie hata kama haki hiyo ni ya ADUI yako ili upate msaada wa MWENYEZI MUNGU lakin hautaki kunisikiliza. HAYA KILICHOKUPELEKA TARIME KUCHOCHEA WATU WAUANE NI HAKI? Pole.
Kule si mahakama ya Kisutu ndugu yangu.
Mmmmm:A S 41::A S 41::A S 41:
Kwa wale wataalam wa sheria tunafaham Tundu hawezi toka mahabusu hadi hapo mtakapoamua nyie wanachama wake kuifanya tarime iwe shwari kiusalama. Na moja ya shart la dhamana ni akitoka mahabusu hatakiwi kuwepo eneo hilo la tukio kwa sababu za kiupelelezi hadi hapo atakapotakiwa kupanda kizimbani.. TUNAHITAJI UTULIVU WAKATI sheria inapochukuwa mkondo wake. Kama tundulisu alitaka kuwatetea marehemu angekwenda huko kisheria na jopo lake la wachunguzi bila kuhamasisha watu na bila kukisemea chama, achunguze kwa kina na kukusanya ushahidi wa kutosha kufungua kesi na kuipandisha mahakaman... Kwa jinsi ninavyomfaham huyo mdogo wangu na hekima za taaluma yake nilitarajia angefanya hivyo... Kwanin amekwendakufanya mambo anayoyajua fika yatamuharibia taaluma yake?
Waandae presentation ya nguvu,maybe a PPT,kama wana links za video za huo unyama pia wazi incorporate,wasambaze kunakohusika na pia online iwe available,hapo mtaanza kuchochea fikra za mapinduzi tuwang'oe hawa mafisadi by any means neccessary,its time to come together and act,once and for all to hasten their demise,so when we die,we will die hapilly knowing that our grand children will have a prosporous future,a better life than this bullshit,better to die for them,thats how great nations where built..through SACRIFICE for the well being of next generation!Mimi ni blogger sasa kuna simu nimepokea hivi punde kutoka kwa jamaa aliyejitambulisha kuwa anaitwa Richard amesema yeye ni mtu wa karibu na uongozi wa CHADEMA amenipa taarifa ya kusisimua sana kuwa mwanaharakati Tundu Lissu anajiandaa kuishtaki serikali Umoja wa mataifa kwa kile inachodaiwa kukamatwa kwake huko Tarime lakini sambamba na hilo anataka kuwasilisha malalamiko kwenye AMNEST INTERNATIONAL kuhusu kile kinachoendelea kwenye migodi nchini Tanzania.........Tungoje tuone
Pole sana Tundu Lissu, hizo tunaziona kama kauli ya mfa maji.... Ulitaka usikamatwe kwa tuhuma unazotuhumiwa? Acha uwoga wa mahabusu, huko panaitwa MTAKUJA. Kama ilivyo hospital.. Uende kustaki wewe kama nani hapo tarime na kwa hoja gani za msingi.. We kaa mahabusu, wenzio wanakusifia eti umaarufu wako unaongezea, haya endelea kijana, siasa si lele mama, nilikushausi tangu mwanzo pale uliponitaka ushauri kuhusu kuingia kwenye siasa... Nikakushauri kuwa mtu wa HAKI na uisimamie hata kama haki hiyo ni ya ADUI yako ili upate msaada wa MWENYEZI MUNGU lakin hautaki kunisikiliza. HAYA KILICHOKUPELEKA TARIME KUCHOCHEA WATU WAUANE NI HAKI? Pole.
Mimi ni blogger sasa kuna simu nimepokea hivi punde kutoka kwa jamaa aliyejitambulisha kuwa anaitwa Richard amesema yeye ni mtu wa karibu na uongozi wa CHADEMA amenipa taarifa ya kusisimua sana kuwa mwanaharakati Tundu Lissu anajiandaa kuishtaki serikali Umoja wa mataifa kwa kile inachodaiwa kukamatwa kwake huko Tarime lakini sambamba na hilo anataka kuwasilisha malalamiko kwenye AMNEST INTERNATIONAL kuhusu kile kinachoendelea kwenye migodi nchini Tanzania.........Tungoje tuone
so what?
hilo jina ni Tindu Lissu au Tundu Lissu? mnatuchanganya
Pole sana Tundu Lissu, hizo tunaziona kama kauli ya mfa maji.... Ulitaka usikamatwe kwa tuhuma unazotuhumiwa? Acha uwoga wa mahabusu, huko panaitwa MTAKUJA. Kama ilivyo hospital.. Uende kustaki wewe kama nani hapo tarime na kwa hoja gani za msingi.. We kaa mahabusu, wenzio wanakusifia eti umaarufu wako unaongezea, haya endelea kijana, siasa si lele mama, nilikushausi tangu mwanzo pale uliponitaka ushauri kuhusu kuingia kwenye siasa... Nikakushauri kuwa mtu wa HAKI na uisimamie hata kama haki hiyo ni ya ADUI yako ili upate msaada wa MWENYEZI MUNGU lakin hautaki kunisikiliza. HAYA KILICHOKUPELEKA TARIME KUCHOCHEA WATU WAUANE NI HAKI? Pole.
Kwa bahati mbaya wewe pamoja na Tindu hamjui serikali,UN,Amnesty International na owners wa migodi ni akina nani.Hao ni watoto wa baba mmoja,kwa hiyo anachofanya ni kama kupeleka kesi ya ngedere kwa nyani.Nothing will come out of it.Niseme hivi,we are surrounded.Sisi ni kondoo wanaoelekezwa machinjoni.Huo ndio ukweli, whether you like it or not.
serikali omba omba kunyimwa misaada na wambwana zao wanaowasujudu. wewe jiulize inakuwaje 50yrs serikali inashindwa hata kujitegemea kwa 50%? Ikikosa misaada basi kila kitu kinkwenda mrama!so what?