the mkerewe
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 232
- 14
Kama si kwa huruma ya JK leo SLAA angekuwa kizuizini.
CDM endeleen kuleta makelele ila nawaonya kuwa nchii hi ina jeshi la kumlinda rais na katiba.
Uchaguzi umeisha makelele ya nini sasa?wanainchi wasiendee shambani wahudhurie maandamano mwisho wa siku wale mavuno yapi?
CDM munatumia kuwaongaa waandishi wa habari uchwara waandike upuuzi wenu ila hamtafua dafu
Mwisho SLAA kazeeka anasumbuliwa na magonjwa ya kizee atawapoteza
CDM endeleen kuleta makelele ila nawaonya kuwa nchii hi ina jeshi la kumlinda rais na katiba.
Uchaguzi umeisha makelele ya nini sasa?wanainchi wasiendee shambani wahudhurie maandamano mwisho wa siku wale mavuno yapi?
CDM munatumia kuwaongaa waandishi wa habari uchwara waandike upuuzi wenu ila hamtafua dafu
Mwisho SLAA kazeeka anasumbuliwa na magonjwa ya kizee atawapoteza