GE2025 Chacha Heche: CHADEMA pekee yake ndiyo mshindani wa CCM

GE2025 Chacha Heche: CHADEMA pekee yake ndiyo mshindani wa CCM

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoa wa Mara, Chacha Heche, amesema kuwa hadi sasa chama pekee cha upinzani chenye uwezo wa kuibana CCM kisiasa na kulazimisha mawazo mapya ni CHADEMA pekee, akisisitiza kuwa hakuna chama kingine cha upinzani chenye ushawishi na nguvu sawa na CHADEMA.

Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa programu ya CHADEMA Family jijini Musoma, Heche amesema: “Mshindani anayeweza kusababisha CCM ilale iwaze uchaguzi ni CHADEMA pekee, hakuna chama kingine.”

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuhusu Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Heche ameendelea kueleza kuwa baadhi ya watu wamekuwa wakijaribu kulinganisha harakati za sasa na TANU, lakini kwa mtazamo wake, CHADEMA imepitia mapambano makali zaidi kuliko chama chochote cha kisiasa kilichopata kutokea nchini.

Heche amelenga kufafanua kuwa uhuru wa pili unaozungumzwa na CHADEMA ni pamoja na uhuru wa kweli wa wananchi kuchagua viongozi wanaowataka kupitia uchaguzi huru na wa haki.

 
yaani leo chadema inajiona kuwa harakati zake zipo juu zaidi ya harakati za TANU?
duuuh! huu ukoo wa heche utatudanganya hadi lini?

#KATAA VIBAKA WA KISIASA
#KATAA MATAPELI WA KISIASA
#OKTOBA TUNATIKI
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoa wa Mara, Chacha Heche, amesema kuwa hadi sasa chama pekee cha upinzani chenye uwezo wa kuibana CCM kisiasa na kulazimisha mawazo mapya ni CHADEMA pekee, akisisitiza kuwa hakuna chama kingine cha upinzani chenye ushawishi na nguvu sawa na CHADEMA.

Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa programu ya CHADEMA Family jijini Musoma, Heche amesema: “Mshindani anayeweza kusababisha CCM ilale iwaze uchaguzi ni CHADEMA pekee, hakuna chama kingine.”

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuhusu Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Heche ameendelea kueleza kuwa baadhi ya watu wamekuwa wakijaribu kulinganisha harakati za sasa na TANU, lakini kwa mtazamo wake, CHADEMA imepitia mapambano makali zaidi kuliko chama chochote cha kisiasa kilichopata kutokea nchini.

Heche amelenga kufafanua kuwa uhuru wa pili unaozungumzwa na CHADEMA ni pamoja na uhuru wa kweli wa wananchi kuchagua viongozi wanaowataka kupitia uchaguzi huru na wa haki.

View attachment 3401311
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoa wa Mara, Chacha Heche, amesema kuwa hadi sasa chama pekee cha upinzani chenye uwezo wa kuibana CCM kisiasa na kulazimisha mawazo mapya ni CHADEMA pekee, akisisitiza kuwa hakuna chama kingine cha upinzani chenye ushawishi na nguvu sawa na CHADEMA.

Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa programu ya CHADEMA Family jijini Musoma, Heche amesema: “Mshindani anayeweza kusababisha CCM ilale iwaze uchaguzi ni CHADEMA pekee, hakuna chama kingine.”

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuhusu Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Heche ameendelea kueleza kuwa baadhi ya watu wamekuwa wakijaribu kulinganisha harakati za sasa na TANU, lakini kwa mtazamo wake, CHADEMA imepitia mapambano makali zaidi kuliko chama chochote cha kisiasa kilichopata kutokea nchini.

Heche amelenga kufafanua kuwa uhuru wa pili unaozungumzwa na CHADEMA ni pamoja na uhuru wa kweli wa wananchi kuchagua viongozi wanaowataka kupitia uchaguzi huru na wa haki.

View attachment 3401311
Iko wazi
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoa wa Mara, Chacha Heche, amesema kuwa hadi sasa chama pekee cha upinzani chenye uwezo wa kuibana CCM kisiasa na kulazimisha mawazo mapya ni CHADEMA pekee, akisisitiza kuwa hakuna chama kingine cha upinzani chenye ushawishi na nguvu sawa na CHADEMA.

Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa programu ya CHADEMA Family jijini Musoma, Heche amesema: “Mshindani anayeweza kusababisha CCM ilale iwaze uchaguzi ni CHADEMA pekee, hakuna chama kingine.”

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuhusu Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Heche ameendelea kueleza kuwa baadhi ya watu wamekuwa wakijaribu kulinganisha harakati za sasa na TANU, lakini kwa mtazamo wake, CHADEMA imepitia mapambano makali zaidi kuliko chama chochote cha kisiasa kilichopata kutokea nchini.

Heche amelenga kufafanua kuwa uhuru wa pili unaozungumzwa na CHADEMA ni pamoja na uhuru wa kweli wa wananchi kuchagua viongozi wanaowataka kupitia uchaguzi huru na wa haki.

View attachment 3401311
Huo ni ukweli
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoa wa Mara, Chacha Heche, amesema kuwa hadi sasa chama pekee cha upinzani chenye uwezo wa kuibana CCM kisiasa na kulazimisha mawazo mapya ni CHADEMA pekee, akisisitiza kuwa hakuna chama kingine cha upinzani chenye ushawishi na nguvu sawa na CHADEMA.

Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa programu ya CHADEMA Family jijini Musoma, Heche amesema: “Mshindani anayeweza kusababisha CCM ilale iwaze uchaguzi ni CHADEMA pekee, hakuna chama kingine.”

Heche ameendelea kueleza kuwa baadhi ya watu wamekuwa wakijaribu kulinganisha harakati za sasa na TANU, lakini kwa mtazamo wake, CHADEMA imepitia mapambano makali zaidi kuliko chama chochote cha kisiasa kilichopata kutokea nchini.

Heche amelenga kufafanua kuwa uhuru wa pili unaozungumzwa na CHADEMA ni pamoja na uhuru wa kweli wa wananchi kuchagua viongozi wanaowataka kupitia uchaguzi huru na wa haki.

Chanzo: Jambo tv​
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoa wa Mara, Chacha Heche, amesema kuwa hadi sasa chama pekee cha upinzani chenye uwezo wa kuibana CCM kisiasa na kulazimisha mawazo mapya ni CHADEMA pekee, akisisitiza kuwa hakuna chama kingine cha upinzani chenye ushawishi na nguvu sawa na CHADEMA.

Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa programu ya CHADEMA Family jijini Musoma, Heche amesema: “Mshindani anayeweza kusababisha CCM ilale iwaze uchaguzi ni CHADEMA pekee, hakuna chama kingine.”

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuhusu Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Heche ameendelea kueleza kuwa baadhi ya watu wamekuwa wakijaribu kulinganisha harakati za sasa na TANU, lakini kwa mtazamo wake, CHADEMA imepitia mapambano makali zaidi kuliko chama chochote cha kisiasa kilichopata kutokea nchini.

Heche amelenga kufafanua kuwa uhuru wa pili unaozungumzwa na CHADEMA ni pamoja na uhuru wa kweli wa wananchi kuchagua viongozi wanaowataka kupitia uchaguzi huru na wa haki.

View attachment 3401311
Ukoo wa heche.Wao ni bora kuliko wengine
 
Ni sawa mpo mnapigana kumtoa mtu kwenye kitu fulani alafu muda wa halftime mnaamua kwanza kupigana wenyewe kwa wenyewe badala ya kutunza nguvu za kupigana aliyekaa kwenye kiti...

Anyway nijuavyo mimi watanzania wengi hawana Vyama bali wanataka nafuu ya maisha yao na kwa yoyote watakayemuamini (sababu sasa hivi imani imekuwa haba) basi watakwenda naye..., no matter anaitwa nani
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoa wa Mara, Chacha Heche, amesema kuwa hadi sasa chama pekee cha upinzani chenye uwezo wa kuibana CCM kisiasa na kulazimisha mawazo mapya ni CHADEMA pekee, akisisitiza kuwa hakuna chama kingine cha upinzani chenye ushawishi na nguvu sawa na CHADEMA.

Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa programu ya CHADEMA Family jijini Musoma, Heche amesema: “Mshindani anayeweza kusababisha CCM ilale iwaze uchaguzi ni CHADEMA pekee, hakuna chama kingine.”

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuhusu Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Heche ameendelea kueleza kuwa baadhi ya watu wamekuwa wakijaribu kulinganisha harakati za sasa na TANU, lakini kwa mtazamo wake, CHADEMA imepitia mapambano makali zaidi kuliko chama chochote cha kisiasa kilichopata kutokea nchini.

Heche amelenga kufafanua kuwa uhuru wa pili unaozungumzwa na CHADEMA ni pamoja na uhuru wa kweli wa wananchi kuchagua viongozi wanaowataka kupitia uchaguzi huru na wa haki.

View attachment 3401311
Inashindana kitu gani sasa😂😂😂
 
Back
Top Bottom