Hahaha chabo noma. Kuna jamaa walikuwa na kakikundi chao cha kupiga chabo gesti, basi kuna siku jamaa alikuwa wa kwanza kupiga chabo kucheki kumbe sista wake alivo shushwa ilianzisha timbwili hakuna mtu mwingine kupanda kupiga chabo.
<br />Jamaa mmoja alikuwa anapiga chabo<br />
dirishani hapa street kwetu, wakati wana ndoa wakiwa<br />
kwenye mahaba, mara huko nje ya<br />
nyumba akawa anakatiza mtu na baiskeli aliyekuwa<br />
ghafla tairi la baiskeli yake<br />
liliburst na kulia puuuuu! <br />
wanandoa humo ndani ya nyumba waliposikia mlio<br />
wa kubusrt tairi wakatulia kwanza kufanya tendo,<br />
mpiga chabo dirishani<br />
akajisahau akasema <br />
"nyie endeleeni nipancha tu''<br />
watu hoi kwa kicheko.<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/msela.gif" border="0" alt="" title="Msela" smilieid="334" class="inlineimg" />
<br /><br /><br />
<br /><br />
watu wepi tena walioangua kicheko? Au kulikuwa na lundo la wapiga chabo?
<br />washuhudiaji ! kama wasingekuwepo isingefika hapa...hata weye uliyesoma<br />
Umekubali...eeh nakuja nikiwa nimejipanga.
<br />Jamaa mmoja alikuwa anapiga chabo<br />
dirishani hapa street kwetu, wakati wana ndoa wakiwa<br />
kwenye mahaba, mara huko nje ya<br />
nyumba akawa anakatiza mtu na baiskeli aliyekuwa<br />
ghafla tairi la baiskeli yake<br />
liliburst na kulia puuuuu! <br />
wanandoa humo ndani ya nyumba waliposikia mlio<br />
wa kubusrt tairi wakatulia kwanza kufanya tendo,<br />
mpiga chabo dirishani<br />
akajisahau akasema <br />
"nyie endeleeni nipancha tu''<br />
watu hoi kwa kicheko.<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/msela.gif" border="0" alt="" title="Msela" smilieid="334" class="inlineimg" />