Cha WIMA

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,105
Reaction score
828,990
Na kimvua hiki na baridi hii
jikoni , kwenye corridor au store ya ofisini wengine ni fasta kabla hawajatoka nje na wengine kwenye meza ya mapokezi au popote panapofaa
Ni kikombe cha kahawa na baridi hii huna haja ya kukaa chini na kuanza kupiga soga unakinywa wima tena fasta mwili unarelax mnoooo....!!!
 
Tena kikombe kiwe chembamba na cha platic, chepesiiiiii.
 
namimi ndio nakipiga fasta nitoke....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…