upendodaima
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 4,072
- 4,482
Hata kama ikiwa ni cha Tarime kingine kile ni sawa coz siku hizi wameongeza W nyingine,badala ya 3 zimekuwa 4.Najua wazi umenielewa ndivyo sivyo.. GENTAMYCINE ila hakuna dhihaka yoyote niamini
Kunywa UHARO WA MBUZI ni Mila ya WAKURYA WOTE.
Mnachanganya UHARO WA MBUZI NA DAMU YAKE. mnaita KICHURI.
Hii sikuambiwa na mtu bali NIMEONA KWA MACHO YANGU.
mimi kila mara nachinjia majirani zangu hapa na Siku moja nikaombwa na MKURYA nimchinjie Mbuzi wake.
Wakati nachinja Akaja na Bakuli akakinga Damu inayotoka Shingoni Akakoroga na Mti halafu nilipopasua Tumbo kutoa Utumbo Akapasua MFUKO WA MAVI akachota akachanganya na Ile DAMU AKANYWA PALE PALE km Lita NZIMA YA MAVI na iliobaki akapeleka ndani.
Pumbafu kabisa. Nikamwambia Kuanzia leo Ukae mbali na Mimi.
Mtu mzima UNAKUNYWA UHARO WA MBUZI? akanambia Hii ni JADI YA WAKURYA WOTE. eti inawapa Ushujaa.
Ushujaa wa KUPIGA WAKE ZENU MAPANGA? huo ndio USHUJAA?
Nyie watu wehu.
Mnatakiwa kwenda kumuona Daktari wa akili haraka sana. Kabla hamja maliza kuua WAKE ZENU.
Kuna jamaa alikuwa anaulizia kichorii nikawa simuelewiMakomandoo gani wanapiga wake zao kila siku na kuwachoma visu?
Makurya ile jadi ya Kunywa Uharo wa Mbuzi uliochanganywa na Damu Unawaharibu akili.
Basi ndio ujue leo kuwa "KICHORI" ni Uharo wa mbuzi uliochanganywa na Damu.Kuna jamaa alikuwa anaulizia kichorii nikawa simuelewi
Mshana jr nafkiri siku ukuenda kwenye field zao ndio utagundua kuwa hizo picha ulizoweka hapo ni mara 50 za uhalisia wa jwtz commando
Utafuti unakuja kwenye mazingira na biashara. Mbona hujaweka zile za parachut uwanja wa taifa?Wa kwetu kila siku kuvunja matofali mabichi ya mchanga uwanja wa Taifa
Leo Umeongea Point SanaMshana Jr Nakuheshimu Sana Mkuu ILA Nakuomba ACHA Narudia Tena ACHA Kuwadhihaki MAKOMANDOO Wetu Kiasi Hiki. Hao Watu WANASTAHILI HESHIMA SANA MKUU Kutokana Na USHUJAA, UVUMILIVU Na SHUGHULI ZAO Na WAMEIFANYIA MENGI MAKUBWA ( Behind Doors ) Nchi Hii Kwa KUJITOA MUHANGA Na Si Ajabu Hata Hiyo Amani Unayojivunia IMENOGESHWA Na Hawa Hawa. Nimejisikia Vibaya Mno ULIVYOWADHIHAKI. Acha Hizo Comrade Japo Mimi Ni Mtu Wako Sana Na Unalijua Hilo ILA Kuhusiana Na Hawa Jamaa Nadhani TUNASTAHILI KUJIVUNIA NAO NA KUWATIA MOYO.
Tulia' jahdina ww
Jahdeen ndiyo yale majitu huwa yanavaa makanzu au visuluari vifupi na vizibao na balkashia huwa yanajitoa muhanga sana. Hata ww nguchiro n mmoja waoJahidina ndio nini!
Au unaongelea aina ya manuari?
Manake wagalatia mna mipasho balaa.
mshana jr, tarehe 13 inakuwaga na upinzani sana, why?Mshana Jr Nakuheshimu Sana Mkuu ILA Nakuomba ACHA Narudia Tena ACHA Kuwadhihaki MAKOMANDOO Wetu Kiasi Hiki. Hao Watu WANASTAHILI HESHIMA SANA MKUU Kutokana Na USHUJAA, UVUMILIVU Na SHUGHULI ZAO Na WAMEIFANYIA MENGI MAKUBWA ( Behind Doors ) Nchi Hii Kwa KUJITOA MUHANGA Na Si Ajabu Hata Hiyo Amani Unayojivunia IMENOGESHWA Na Hawa Hawa. Nimejisikia Vibaya Mno ULIVYOWADHIHAKI. Acha Hizo Comrade Japo Mimi Ni Mtu Wako Sana Na Unalijua Hilo ILA Kuhusiana Na Hawa Jamaa Nadhani TUNASTAHILI KUJIVUNIA NAO NA KUWATIA MOYO.
mbona we mwenyewe kiaziAfadhali Umewachokoza WAKURYA Wenyewe Hivyo Watakuja Wenyewe ILA Mimi MZANAKI NILIYETUKUKA Naamini UKOMANDOO Wetu au UKAKAMAVU Wetu Uko Hasa KICHWANI Kwa Kuwa Na UWEZO MKUBWA Wa KUFIKIRI Ambao Uliwaongozeni Watanzania Kwa Miaka Yote 22 Na Mkawa Mnafuata Wanachosema WAZANAKI Na Mpaka Sasa Bado WAZANAKI Tunaiongoza Na Kuitawala Nchi Hii Kwa Mbinu Zetu Za Ndani Kabisa Tulizokuja Nazo Miaka Ya 1890 Kutoka Nchini Rwanda Ambako Tumewaacha Ndugu Zetu Wa Damu WATUTSI. Wazanaki Hatujajaaliwa Hiyo MIGUVU Yenu Ila Upstairs TUMETUKUKA Kwa UPEO, MBINU Na MAARIFA.
ha ha haaa, umeona eeeeThe thread has been contaminated