Cha asubuhi sitaki, labda akaoge kwanza

Cha asubuhi sitaki, labda akaoge kwanza

Huko kwenu mkilala mnatoka mijasho na kunuka badala ya kunukia lotion unatakuwa unaishi kwenye mzingira hatarishi.
Pole sana mkuu.
Hapo unaongopa. Kila mtu anapolala, mwili hutoa mijasho na miudende mdomoni.
 
Udenda na mijasho yote iliyotiririka usiku kucha halafu asubuhi aanze kunilalia? Mswaki hajapiga, harufu mbaya inatoka kinywani halafu aanze kunipumulia mm? Sitaki.

Akitaka akaoge, apige mswaki ndipo aombe show. Vinginevyo No! Sitaki karaha mm. Wanaosema mapenzi ni uchafu acha wao wavumilie, mm kwangu mapenzi ni usafi.
Wakati huo wewe unakuwa umeoga na kuswaki???Kama ni hivyo muoge pamoja
 
hahaha mapenzi ni dirty au clean game ila usafi muhimu jamani wengi wanalalaga bila kupiga mswaki au wanavaa minguo mizito lazima mambo yawe magumu usafi muhimu
 
Udenda na mijasho yote iliyotiririka usiku kucha halafu asubuhi aanze kunilalia? Mswaki hajapiga, harufu mbaya inatoka kinywani halafu aanze kunipumulia mm? Sitaki.

Akitaka akaoge, apige mswaki ndipo aombe show. Vinginevyo No! Sitaki karaha mm. Wanaosema mapenzi ni uchafu acha wao wavumilie, mm kwangu mapenzi ni usafi.
Je, na ww umeoga????? au unamlazmisha mwenzio tu???
 
Mbona mdomo huwa haunuki?? hampigagi mswaki usiku??Labda dume lako cha pombe na hata kama ni chapombe mvumlie tuu umpe haki yake. By the way ww jinsia yako tata hatujui so maybe unamuongelea mke wako hapa sie tunachangia mwanaume
 
Wewe!! Mm si wa class hiyo.
Hata uwe na class gani unaweza fanywa kitu mbaya tena cha kukusononesha ambacho huwez kusahau. Wakati mwingine nikiona hawa wenzetu wanachoringia basi tu,nisiongee sana.
 
Udenda na mijasho yote iliyotiririka usiku kucha halafu asubuhi aanze kunilalia? Mswaki hajapiga, harufu mbaya inatoka kinywani halafu aanze kunipumulia mm? Sitaki.

Akitaka akaoge, apige mswaki ndipo aombe show. Vinginevyo No! Sitaki karaha mm. Wanaosema mapenzi ni uchafu acha wao wavumilie, mm kwangu mapenzi ni usafi.
Awamu hii ya tano jitafakari upya..utatoa huto?
 
Yan baby umeamua kunileta huku ... hata mimi nilkua nakuvumilia niltaka nikwambie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom