msakaa jr
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 6,512
- 6,723
Asante kwa kuweka kumbukumbu sawa mkuu. Hawa jamaa sijui wakoje, wanadhani hatuelewi wanavyopanga juu yetu. Halafu wanajifanya hawaielewi sheria yetu ya kaziamekataliwa work permit Tanzania is doing what Kenya does under Matiangi. Protecting our jobs too u know Tit for tat!