mmh
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 2,910
- 5,081
Manara kama mwajiriwa anawajibika kufuata sheria za kazi kwa mapana yake.
Lakini hili la kuanza kutukana mkuu wake wa kazi hadharani kwenye mambo ya kazi na tena kwa ushahidi kabisa! Hilo ni kosa kubwa. Pamoja na yeye kufanya kazi anayosema ni kubwa ya jasho na damu lakini kila mtu anafanya hivyo kazini kwake na hulipwa malipo kama compasation.
Yaani yeye anatakaga awe mkubwa kuliko CEO wake hiyo ni structure ya wapi tena jamani! Mwenyekiti wa bodi hapo hamna usuluhishi Bali ni sheria zifuatwe inavyotakiwa hata kama kutakua na gharama kidogo. Hatuko desperate sana na confederation cup hadi kufikia kuua discipline ya team. Kama mkimuachia Manara basi na akina Mkude muwaache tu Bila kuwa na nidhamu.
Mara atukane waandishi mara atukane wachambuzi, mara atukane kila mtu! Sasa joka limefugwa linataka kumla mfugaji.
Kwa level ya Simba kinatakiwa kichwa kitulivu pale.
Halafu anapenda sana kutukana wanawake hadharani!!
Lakini hili la kuanza kutukana mkuu wake wa kazi hadharani kwenye mambo ya kazi na tena kwa ushahidi kabisa! Hilo ni kosa kubwa. Pamoja na yeye kufanya kazi anayosema ni kubwa ya jasho na damu lakini kila mtu anafanya hivyo kazini kwake na hulipwa malipo kama compasation.
Yaani yeye anatakaga awe mkubwa kuliko CEO wake hiyo ni structure ya wapi tena jamani! Mwenyekiti wa bodi hapo hamna usuluhishi Bali ni sheria zifuatwe inavyotakiwa hata kama kutakua na gharama kidogo. Hatuko desperate sana na confederation cup hadi kufikia kuua discipline ya team. Kama mkimuachia Manara basi na akina Mkude muwaache tu Bila kuwa na nidhamu.
Mara atukane waandishi mara atukane wachambuzi, mara atukane kila mtu! Sasa joka limefugwa linataka kumla mfugaji.
Kwa level ya Simba kinatakiwa kichwa kitulivu pale.
Halafu anapenda sana kutukana wanawake hadharani!!