Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 49,258
- 19,584
Nikisikia engineer heshima yake inaongezeka maradufu
siku niliposikia atcl inaongozwa na engineer kichwa yangu ilifurahi maana
siku zote wanaoujua vichwa vya ma engineer ukiacha matatizo yetu tuliokuwa nayo udsm
yaliofanya wengine kunywa pombe ovyo lakini tunafaulu..mwishowa siuku tunaongoza vyombo
muhimu
kwako mkuu paul chizi..
Hongerasana kwa kupewa majukumu makubwa ingawa bado nalalamika wanaitaji
kukupa sapoti kubwa ikiwemo kuweka sheria za kusiadia atcl kutanuka duniani
kote pamoja na kuhakikisha kila mfanyakazi wa serikalini anapanda ndege ya atcl
binafsi nakupongeza kwa hili..na zaidi ya yote nakupongeza kwa training zonazoendelea
ambazo tumekuwa tukizizoma kwenye magazeti yetu hasa mwananchi..nimewiwa kuona
una muelekeo wa watu kujua nini wanachofanya ingawa ni wakati sasa wa watu kuwa na conc
training badala ya kuweka training kwa watu wachache tu na hivyo wengine kuonekana awana maana
katika nafasi zao
ndugu kakayetu paul wakati mwingine wa kukumbushana haya haya magazeti sio mazuri sana
kuyatumia wakati mwingine ni rahisi sana sana kuwageuka ..ni watu wazuri sana sana lakini
ni wabaya pale wanapoona mambo ayaendi vizuri.....nafurahi kuona maendeleo mazuri
kwenye kampun yetu same nisingependa kuona haya magazeti yakishabikia sana nini kinachoendelea
atcl ninao ushahidi wa magazeti ambayo ukini pm ntakurushia yalioipongeza saana atcl na siku
wanasikia aina hata ndege walidiriki kuandika kile wanachoweza kuandika
nakutakia maisha mema na kazi nzuri ikiwemo sapoti kwa kila sehemu mungu akubairiki natumaini
mawazo yetu sio ya kufurahisha sana lakini yanajenga na kuimarisha kampuni yetu tukufu
kila la kheri eng paul chizi binafsi ningeomba kila wanapooandika jina lako waakikishe wanaanzza na
eng.p.chizi
siku niliposikia atcl inaongozwa na engineer kichwa yangu ilifurahi maana
siku zote wanaoujua vichwa vya ma engineer ukiacha matatizo yetu tuliokuwa nayo udsm
yaliofanya wengine kunywa pombe ovyo lakini tunafaulu..mwishowa siuku tunaongoza vyombo
muhimu
kwako mkuu paul chizi..
Hongerasana kwa kupewa majukumu makubwa ingawa bado nalalamika wanaitaji
kukupa sapoti kubwa ikiwemo kuweka sheria za kusiadia atcl kutanuka duniani
kote pamoja na kuhakikisha kila mfanyakazi wa serikalini anapanda ndege ya atcl
binafsi nakupongeza kwa hili..na zaidi ya yote nakupongeza kwa training zonazoendelea
ambazo tumekuwa tukizizoma kwenye magazeti yetu hasa mwananchi..nimewiwa kuona
una muelekeo wa watu kujua nini wanachofanya ingawa ni wakati sasa wa watu kuwa na conc
training badala ya kuweka training kwa watu wachache tu na hivyo wengine kuonekana awana maana
katika nafasi zao
ndugu kakayetu paul wakati mwingine wa kukumbushana haya haya magazeti sio mazuri sana
kuyatumia wakati mwingine ni rahisi sana sana kuwageuka ..ni watu wazuri sana sana lakini
ni wabaya pale wanapoona mambo ayaendi vizuri.....nafurahi kuona maendeleo mazuri
kwenye kampun yetu same nisingependa kuona haya magazeti yakishabikia sana nini kinachoendelea
atcl ninao ushahidi wa magazeti ambayo ukini pm ntakurushia yalioipongeza saana atcl na siku
wanasikia aina hata ndege walidiriki kuandika kile wanachoweza kuandika
nakutakia maisha mema na kazi nzuri ikiwemo sapoti kwa kila sehemu mungu akubairiki natumaini
mawazo yetu sio ya kufurahisha sana lakini yanajenga na kuimarisha kampuni yetu tukufu
kila la kheri eng paul chizi binafsi ningeomba kila wanapooandika jina lako waakikishe wanaanzza na
eng.p.chizi