Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,915
- 30,027
Za Arusha Mkuu??Upo sahihi kabisa. 4,000*1.25 = 5,000 na 5,000.00 * 1.18 = 5,900.00
Hapo usafiri ndiyo utakaoeleza bei ya mfuko iwaje ukitoa port charges, na claring agent cost.
Kuna kitu tunaruka kwenye hii formula.
Hizi kodi hua zinapigwa kwenye bei ambayo imeshajumuisha na freight.
Yaani kama freight ni labda 3,000/- basi itakua (4,000+3,000) x 1.25 x 1.18 = 10,325/-