Kuna habari kwenye gazeti la michezo la leo 13/12/2011 kuwa Emmanuel Okwi alitangazwa na kupewa joint top scorer na akina Karekezi wa CECAFA Challenge cup ilyoisha majuzi wakati ana goli 4 tu,pungufu ya moja kwa wenzie.Uzembe gani huo wa waandaaji.
Yeye mwenyewe kakiri kuwa hakustahili.Yanga bana!
Yaani kila kitu ni uozo tu.Hawa CECAFA hata mimi ningecheza Stars ningechaguliwa mchezaji bora