Mkuu wangu Makoye Matale:Hebu jaribu ku-analyse kidogo hizi dakika 45 za kipindi cha kwanza,halafu nini kifanyike kipindi cha pili kwa wazenji kama kweli wanataka ushindi kwenye mchezo huu,najua ulikuwa na kazi ngumu ya kutoa update kwa hiyo usingeweza elza kila kitu!