CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda


Mkuu hebu angalia vizuri hapo kwenye nyekundu naona kuna mshikeli kidogo maana hiyo mechi ilishachezwa tayari leo.
 
Mkuu hebu angalia vizuri hapo kwenye nyekundu naona kuna mshikeli kidogo maana hiyo mechi ilishachezwa tayari leo.

Kweli mkuu nimeichukua BBC sports bila kuedit ngoja nifanye marekebisho asante sana kwa umakini wako.
 

nice updates...
 
mi naona hapa sasa ndio sehemu nzuri ya kuchukulia wachezaji wa timu ya taifa stars katika hili maana utajua nani mkali na nani anazingua..

Tanganyika ni taifa na Zanzibar ni taifa, unazungumzia taifa gani tena mkuu?
 

Hapo kwenye red ndipo nilipogundua upuuzi wa CECAFA.Yaani timu zinatoka kundi moja zinacheza zenyewe kwenye mtoano.NI AFRIKA PEKEE..........
 
Dakika ya 49
[TABLE="class: league-table"]
[TR="class: even"]
[TD="class: fh"]Kenya
[/TD]
[TD="class: fs"]0 - 0 [/TD]
[TD="class: fa"]Malawi [/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
mechi imekwisha kenya 1 malawi 0, kenya wanaenda nusu fainali
 
Malawi flames have been quenched, they can't burn any more! Full time Kenya 1-0 Malawi.
 
Uganda anaongoza bao 1 - 0, kipindi cha pili ndio kinakaribia kuanza....goli limefungwa na Geoffrey Kizito

Asante mkuu maana nimeona hapa leo pamekuwa kimya sana. Vipi unaonaje, ni heri tukutane na Waganda au Wa-Ethiopia kwenye nusu fainali?
 
Kipindi cha pili Ethiopia na Uganda ndio kinaanza sasa...
 
Goooal...dk 59
Robert Ssentongo anaifungia Uganda goli la pili...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…