Watu8,bealive in yourself kwanza,then second give our father God chance ya kusimamia hii kitu,hawa Wanyarwanda tunawatoa na tunatinga nusu fainali,kumbuka this is the game of chance rafiki yangu tukikata tamaa sisi itakuwaje kwa wachezaji ndani ya Pitch?!!
ngoja niwe na imani tu mkuu...halafu bahati mbaya leo nipo kibaruani na mkoloni kakaba nilipenda kweli kushuhudia huu mtanange
anafikiri game hii ni ya makundi.
Huyo winga wao wa kulia ni mbaya sana ni lazima Maftah awe makini vinginevyo atatuletea madhara makubwa,ameshapita mara tatu tena mbaya!
beki ya Starz imetulia kwa kweli.
Dakika ya 15 bado Bila bila
Huyo winga wao wa kulia ni mbaya sana ni lazima Maftah awe makini vinginevyo atatuletea madhara makubwa,ameshapita mara tatu tena mbaya!
We kaa humu humu ndani utapata kila kitu mkuu wale usitie shaka mie leo nimetoka mapema ndani ya mashimo yetu humo kwenye machimbo Nyarugusu nimeamua kuingia Centre kwa ajili ya kuungalia,nitakujulisha kila kitu najua kuna wengine pia.
Umemuona huyo winga??!! Maftah sina imani naye leo,hayuko sawa sio kawaida yake kupitwa kirejareja hivyo?!
Mkuu Makoye Matale leo naona umeanza mapema kabisa safi sana Mwanawane,mzima lakini???
Kulia nadhani huwa anachezeshwa Niyonzima jezi namba 8...au leo wamepanga tofauti
Mambo safi kabisa, kulikuwa na kawingu kalikuwa kanatishia uwepo wa matangazo haya hapa nilipo, bahati nzuri kamesambaa.
Dakika 25 bado 0-0.
Ni kweli lakini ule upande wa Maftah hapako salama sana kwa sababu kuna winga hatari kule anamabka mawili meupe pembezoni mwa macho yake!!!!