Hivi ni kwamba hawa majirani zetu Uganda hawana viwanja vingine hata vile vya mchanga? Hali ya uwanja ninaouona kny luninga yangu haufai hata kidogo. Wanatuaibisha bana, aaah! Nimeona mmalawi akikosa goli akiwa peke yake na goli, mpira ulikwama kny maji.