WABHEJASANA JF-Expert Member Joined Jun 22, 2011 Posts 4,225 Reaction score 869 Nov 28, 2012 #481 idawa said: mkuu tupo pamoja, naona Ngasa anapiga mpira mzuri hapa na kipa anacheza vizuri.! Click to expand... Angalia hiyo penati wala hawafungi,lazima wakose,hapa ndipo utatambua kwamba mimi ni mtu wa Bariadi,lazima nitume msukule wangu umsaidie Kaseja.
idawa said: mkuu tupo pamoja, naona Ngasa anapiga mpira mzuri hapa na kipa anacheza vizuri.! Click to expand... Angalia hiyo penati wala hawafungi,lazima wakose,hapa ndipo utatambua kwamba mimi ni mtu wa Bariadi,lazima nitume msukule wangu umsaidie Kaseja.
idawa JF-Expert Member Joined Jan 20, 2012 Posts 25,298 Reaction score 38,438 Nov 28, 2012 #482 penati nahisi ni halali, tumwombee kaseja aicheze.!
Mphamvu JF-Expert Member Joined Jan 28, 2011 Posts 10,702 Reaction score 3,345 Nov 28, 2012 Thread starter #483 Mphamvu said: Yusuph Ndikumana alichezewa rafu ndani ya boksi na Shomari Kapombe... Click to expand... Anafunga pale Ndikumana a.k.a Baba Irene Uwoya.... Wao moja sisi bila!
Mphamvu said: Yusuph Ndikumana alichezewa rafu ndani ya boksi na Shomari Kapombe... Click to expand... Anafunga pale Ndikumana a.k.a Baba Irene Uwoya.... Wao moja sisi bila!
idawa JF-Expert Member Joined Jan 20, 2012 Posts 25,298 Reaction score 38,438 Nov 28, 2012 #484 Mphamvu said: Chupuchupu Mwinyi Kazimoto atuinue hapa... Mpira unapita nje kidogo ya goli. Penalty wanapata Burundi hapa... Click to expand... wemefunga mkuu.!
Mphamvu said: Chupuchupu Mwinyi Kazimoto atuinue hapa... Mpira unapita nje kidogo ya goli. Penalty wanapata Burundi hapa... Click to expand... wemefunga mkuu.!
Mphamvu JF-Expert Member Joined Jan 28, 2011 Posts 10,702 Reaction score 3,345 Nov 28, 2012 Thread starter #485 Bantugbro said: Hapo tumeumia..:confused2: Click to expand... Na tumeumia kweli.
Mphamvu JF-Expert Member Joined Jan 28, 2011 Posts 10,702 Reaction score 3,345 Nov 28, 2012 Thread starter #486 Issa Rashid anaingia badala ya Shomari Kapombe aliyeumia bada ya kugongana na Ndikumana.
Mphamvu JF-Expert Member Joined Jan 28, 2011 Posts 10,702 Reaction score 3,345 Nov 28, 2012 Thread starter #487 Ngassa anajaribu tena kutoka mbali...
idawa JF-Expert Member Joined Jan 20, 2012 Posts 25,298 Reaction score 38,438 Nov 28, 2012 #488 Mphamvu said: Anafunga pale Ndikumana a.k.a Baba Irene Uwoya.... Wao moja sisi bila! Click to expand... te!te!te! Baba nani vile.? Halafu huyu jamaa shemeji yetu nahisi analipiza kutoswa na dada yetu.
Mphamvu said: Anafunga pale Ndikumana a.k.a Baba Irene Uwoya.... Wao moja sisi bila! Click to expand... te!te!te! Baba nani vile.? Halafu huyu jamaa shemeji yetu nahisi analipiza kutoswa na dada yetu.
Bantugbro JF-Expert Member Joined Feb 22, 2009 Posts 4,473 Reaction score 4,253 Nov 28, 2012 #489 Dakika ya ngapi sasa?
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,359 Reaction score 108,499 Nov 28, 2012 #490 Mphamvu said: Msukule tena? Click to expand... mzito sana...yupo slow
Zamaulid JF-Expert Member Joined May 25, 2009 Posts 19,955 Reaction score 16,006 Nov 28, 2012 #491 idawa said: Tumeamuka tumwombe Mungu,naamini yupo upande wetu.! Click to expand... mkuu na wenyewe nao wanamuomba mungu huyu huyu wa kwetu!!!
idawa said: Tumeamuka tumwombe Mungu,naamini yupo upande wetu.! Click to expand... mkuu na wenyewe nao wanamuomba mungu huyu huyu wa kwetu!!!
Zamaulid JF-Expert Member Joined May 25, 2009 Posts 19,955 Reaction score 16,006 Nov 28, 2012 #492 Mphamvu said: Ngassa anajaribu tena kutoka mbali... Click to expand... mkuu jamaa wana ukuta mgumu kiasi hicho!!inakuwaje wajaribu mashuti ya mbali!!!
Mphamvu said: Ngassa anajaribu tena kutoka mbali... Click to expand... mkuu jamaa wana ukuta mgumu kiasi hicho!!inakuwaje wajaribu mashuti ya mbali!!!
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,359 Reaction score 108,499 Nov 28, 2012 #493 Mphamvu said: Anafunga pale Ndikumana a.k.a Baba Irene Uwoya.... Wao moja sisi bila! Click to expand... Hii mechi tokea mwanzo nilikua nahisi tutalala
Mphamvu said: Anafunga pale Ndikumana a.k.a Baba Irene Uwoya.... Wao moja sisi bila! Click to expand... Hii mechi tokea mwanzo nilikua nahisi tutalala
Mphamvu JF-Expert Member Joined Jan 28, 2011 Posts 10,702 Reaction score 3,345 Nov 28, 2012 Thread starter #494 Bantugbro said: Dakika ya ngapi sasa? Click to expand... Dakika ya 55
Makoye Matale JF-Expert Member Joined May 2, 2011 Posts 6,490 Reaction score 2,104 Nov 28, 2012 #495 Karefa nako kama kanatuuma, hivi ni ka nchi gani?
idawa JF-Expert Member Joined Jan 20, 2012 Posts 25,298 Reaction score 38,438 Nov 28, 2012 #496 WABHEJASANA said: Angalia hiyo penati wala hawafungi,lazima wakose,hapa ndipo utatambua kwamba mimi ni mtu wa Bariadi,lazima nitume msukule wangu umsaidie Kaseja. Click to expand... mkuu ungesema unatoke gamboshi wasingefunga sasa bariadi mbona kweupe tu.
WABHEJASANA said: Angalia hiyo penati wala hawafungi,lazima wakose,hapa ndipo utatambua kwamba mimi ni mtu wa Bariadi,lazima nitume msukule wangu umsaidie Kaseja. Click to expand... mkuu ungesema unatoke gamboshi wasingefunga sasa bariadi mbona kweupe tu.
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,359 Reaction score 108,499 Nov 28, 2012 #497 Zamaulid said: mkuu jamaa wana ukuta mgumu kiasi hicho!!inakuwaje wajaribu mashuti ya mbali!!! Click to expand... maji ya shingo...hata hivyo Mrisho Ngassa siku hizi anajifanya Junihno,ni freekick taker
Zamaulid said: mkuu jamaa wana ukuta mgumu kiasi hicho!!inakuwaje wajaribu mashuti ya mbali!!! Click to expand... maji ya shingo...hata hivyo Mrisho Ngassa siku hizi anajifanya Junihno,ni freekick taker
WABHEJASANA JF-Expert Member Joined Jun 22, 2011 Posts 4,225 Reaction score 869 Nov 28, 2012 #498 Makoye Matale said: Karefa nako kama kanatuuma, hivi ni ka nchi gani? Click to expand... Huyu refa mjinga sana sijui aliiona coment yangu ile ya kutumua msukule akamsaidie kaseja,yani kawahi kweli kuruhusu penati kabla hata ya msukule wangu kufika.
Makoye Matale said: Karefa nako kama kanatuuma, hivi ni ka nchi gani? Click to expand... Huyu refa mjinga sana sijui aliiona coment yangu ile ya kutumua msukule akamsaidie kaseja,yani kawahi kweli kuruhusu penati kabla hata ya msukule wangu kufika.
P Pazi JF-Expert Member Joined Mar 5, 2011 Posts 2,946 Reaction score 1,815 Nov 28, 2012 #499 Ngassaaaaa Inchi chache pale uchuzi to ubwabwa dah.
Mphamvu JF-Expert Member Joined Jan 28, 2011 Posts 10,702 Reaction score 3,345 Nov 28, 2012 Thread starter #500 Naona kinataka kinuke hapa uwanjani...