CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

Mimi niko tu leo nasoma comment za watani.

Najuaga Mkuu team yako ikiwa inacheza hupendi hata kupepesa macho pembeni,concetration yako inakuwaga full kwenye mchezo..usikonde lkn Kocha wenu alishatanguliza utetezi
 
sasa yeye unavyosema kuwa tunaacha kufanya shughuli za msingi na tunaangalia haya mashindano,una maana sisi ni wajinga au

Hata li-avatar limekushinda kuliweka? Maana haya ni mashikolo mageni, punguza hasira Mkuu.
 
Bora amejisahihisha,lkn hd anatungazia hiyo list anakuwa ameichukua kweli kutoka kwa wenye team au anapanga list kwa mujibu wa mtazamo wake kama Masuke anavyotupangiaga hapa?

Mkuu mimi napanga kikosi lakini nakuwa muwazi kwamba ni maoni yangu, laiki yeye kama hakusema ni maoni yake alikuwa very wrong.
 
Najuaga Mkuu team yako ikiwa inacheza hupendi hata kupepesa macho pembeni,concetration yako inakuwaga full kwenye mchezo..usikonde lkn Kocha wenu alishatanguliza utetezi

Mechi ya leo inabidi tutoe draw, kufungwa ni fedheha halafu tukishinda tunakutana na Atletico robo fainali kitu ambacho sio kizuri bora tukutane nao nusu fainali.
 
Hata li-avatar limekushinda kuliweka? Maana haya ni mashikolo mageni, punguza hasira Mkuu.

Kuna watu huwa mnatia sana hasira khs Avatar niliiweka ila nimeitoa na sishindwi kuiweka, mi nadhani leo umekorofishwa na pengine wenzio wamekulia mke wako
 
Naona leo mtaalamu Shomari Salum Kapombe yupo ndani ya uwanja......

I wish Kapombe angecheza pale kati na Juma Nyosso
Mkuu beki wetu wa pembeni Amir amevunjika kidole, kwa hiyo huko anakocheza ni sawa kabisa.
 
Mechi ya leo inabidi tutoe draw, kufungwa ni fedheha halafu tukishinda tunakutana na Atletico robo fainali kitu ambacho sio kizuri bora tukutane nao nusu fainali.

ha ha ha ha ha sio kizur kivipi Mkuu?
 
Mechi ya leo inabidi tutoe draw, kufungwa ni fedheha halafu tukishinda tunakutana na Atletico robo fainali kitu ambacho sio kizuri bora tukutane nao nusu fainali.

Masuke hata tukikutana na Atletico ni sawa tu ili tuwachafue vizuri kwa kulipiza kipigo walichopata watani zetu Yanga
 
Masuke hata tukikutana na Atletico ni sawa tu ili tuwachafue vizuri kwa kulipiza kipigo walichopata watani zetu Yanga

Mkuu si unaona watani walipiga kazi hadi wakahakikisha hawakutani na URA mapema.
 
Abdallah Juma ameumia......

Ametoka,ameingia Kigi Makassy
 
Kwa hiyo Azam na Mafunzo inabidi warudiane kupata wa kwanza na wa pili?

wataangalia walipokutana wao ni nani alikuwa wa kwanza kufunga goli. kwa utaratibu huo Azam ni ya kwanza kwani ilitangulia kufunga na Mafunzo wakasawazisha.
 
Penaltiiiiiiiiiiiiiii


Vita wanapata penati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…