Najuaga Mkuu team yako ikiwa inacheza hupendi hata kupepesa macho pembeni,concetration yako inakuwaga full kwenye mchezo..usikonde lkn Kocha wenu alishatanguliza utetezi
Bora amejisahihisha,lkn hd anatungazia hiyo list anakuwa ameichukua kweli kutoka kwa wenye team au anapanga list kwa mujibu wa mtazamo wake kama Masuke anavyotupangiaga hapa?
Najuaga Mkuu team yako ikiwa inacheza hupendi hata kupepesa macho pembeni,concetration yako inakuwaga full kwenye mchezo..usikonde lkn Kocha wenu alishatanguliza utetezi
Mechi ya leo inabidi tutoe draw, kufungwa ni fedheha halafu tukishinda tunakutana na Atletico robo fainali kitu ambacho sio kizuri bora tukutane nao nusu fainali.
Kuna watu huwa mnatia sana hasira khs Avatar niliiweka ila nimeitoa na sishindwi kuiweka, mi nadhani leo umekorofishwa na pengine wenzio wamekulia mke wako
Mechi ya leo inabidi tutoe draw, kufungwa ni fedheha halafu tukishinda tunakutana na Atletico robo fainali kitu ambacho sio kizuri bora tukutane nao nusu fainali.
Mechi ya leo inabidi tutoe draw, kufungwa ni fedheha halafu tukishinda tunakutana na Atletico robo fainali kitu ambacho sio kizuri bora tukutane nao nusu fainali.
wataangalia walipokutana wao ni nani alikuwa wa kwanza kufunga goli. kwa utaratibu huo Azam ni ya kwanza kwani ilitangulia kufunga na Mafunzo wakasawazisha.