CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

Halafu hili Kocha lao (Azam) lina dharau ile kinoma,utafikiri lenyewe ndo Guordiola,juzi eti wakati wa mechi ya Yanga na Wau Salaam baada ya Yanga kuandika goli la 5 lilifumwa linatoka lilipoulizwa likasema haliwezi kuangalia mazoezi,eti Yanga walikuwa hawachezi mechi bali mazoezi.
Jana tena likakaliliwa likisema Shikokoti akacheze basketball aachane na soka as if team yake inacheza soka la Sayari nyingine kumbe ni hizihizi butubutu zetu za EA
 
Wakuu, poleni sana kwa kufuatilia michuano hii mkitoa muda wenu ambao pengine ungewaingizia mamilioni ya fedha kupitia kazi mbalimbali.

Muda mfupi uliopita Kocha Mkuu wa Simba amehojiwa na S9 Reporter na mahojiano yalikuwa kama ifuatavyo:

S9 Reporter: Coach you are 6 times champion, what can you tell us today?
Milovan: We normally play all games
S9 Reporter: Are you missing Ugandan International Emmanuel Okwi in your squad?
Milovan: Yes of course, we are trying to play without him
S9 Reporter: What is your prediction today?
Milovan: Prediction!, I don't understand
S9 Reporter: I mean, what is the outcome of today's match?
Milvoan: My English is not good, I don't understand
S9 Reporter: Thank you coach, I wish you all the best
Milovan: Thanks.

Ha ha haaa! kumbe hili li-luga linawasumbuaga wengi, weupe kwa weusi!
 
Dakika ya 90

Tusker 0-0 Azam

Dakika 3 za nyongeza
 

Ni Raia wa wapi huyu Kiraza?
 
mwaikimba ndani duh! atacheza dakika2
 

Duh sasa kama Milovan na Mtangazaji wa Super Sports lugha gongana,Milovan na Haruna Moshi Boban sijui itakuwaje?
 

Kiraza ww kwahiyo kutokujua Lugha ndo kutufanye na sisi tusifuatilie. Jf kumbe kuna watu Vilaza sana aiseee. Hv we upoje? Au unataka watu wapate Ban? Mod huyu mnamchukuliaje lakin
 
Mimi nawataka Azam kwa kiwango hichihichi walichocheza leo kwenye robo fainali
 
Duh sasa kama Milovan na Mtangazaji wa Super Sports lugha gongana,Milovan na Haruna Moshi Boban sijui itakuwaje?
Lugha za watu hizo kuwa mweupe siyo lazima ujue lugha zote
 
Full Time

Tusker 0-0 Azam

Tusker wanafunga virago kurudi Nairobi......Refa amewaumiza Tusker leo
 
hongera kwao Azam,tatizo huko robo fainali watabadilisha mfumo? Mimi nadhani kwa hali hii,sijui kama watafika mbali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…