Ndo narejea kutoka kule nilipokuwa nasherehekea,team inayotoa matokeo kama ya Yanga ni mbaya sana inaweza kukufanya umalize mshahara wote kabla hata ya tarehe 1
Sababu hizi nilizitegemea sana,mimi nimewabatiza nyie ni wazee na kucheza na jukwaa,tena lile la Simba,pass za visigino nyiingi mmekula 2 - 0 kwa maneno "TWO - O"
nIMEPENDA KITU KIMOJA AZAM HAWA PANIC HATA KAMA WAMEFUNGWA WANACHEZA MPIRA WAO UKIONDOA UZEMBE MDOGO MDOGO KWELI LIGI KUU ITAKUWA YA USHINDANI MKUBWA...
Kweli Nyani hani Kundule,leo hii unajifanya kusahau kama Kaseja ndo mtaalamu wa style ile ya kupoteza muda uwanjani,embu rejea mechi kati ya Simba na Shandy ya hapa Dar,Simba alipokuwa anaongoza
Haka ka Ms. Azam, FC siyo katamu kama Darling wangu, angekuwa yule ningepiga zaidi ya bao sita. Sijafahamu Darling wangu kapotelea wapi, KIHEREHERE cha haka kabinti kimekiponza.
Naamini muda si mrefu Darling wangu atapatikana tu.
Haka ka Ms. Azam, FC siyo katamu kama Darling wangu, angekuwa yule ningepiga zaidi ya bao sita. Sijafahamu Darling wangu kapotelea wapi, KIHEREHERE cha haka kabinti kimekiponza.
Naamini muda si mrefu Darling wangu atapatikana tu.