Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,935
- 1,296
mkuu wewe ndo mgumu
kuelewa kabisaa. Vinavyoongelewa hapa kupata misaada ya capacity
building ni vyama vya kidemokrasia kama ilivyo kwa cdm. Tangu lini cuf
kikawa chama cha demokrasia?
Zungumzeni na al-shabaab na boko-haram ninyi wachechnia na tolabora ili
baghdad watoe hiyo misaada. Si ndio rafiki zenu?
Nachokiona mimi,mlichukuwa nchi nyinyi hata miskiti mtaigeuza makanisa kwa msaada wa CDU!