CDF Nkunda ndio kikwazo chetu

CDF Nkunda ndio kikwazo chetu

mwehu ndama

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2019
Posts
2,066
Reaction score
7,778
Taarifa zinasema , watu zaidi ya 700 wamekwisha kupoteza maisha..Jeshi Gani linaruhusu mipaka yake inavamiwa, Askari wa kigeni wanaingia na kuua raia wanaotekeleza wajibu wao wa kikatiba..! Kama ni hivi basi CDF hafai
 
Sijui watu wanamsifia nini huyu jamaa.
 
Back
Top Bottom