Misss Chuga
Senior Member
- Oct 6, 2021
- 181
- 327
Tena kipanda uso. Napenda sana wanavyoendesha mambo yao hasa kutokuwajibu wapinzani wao.Kanisa katoliki liacheni kikae lilivyo!!! Ukilifuatilia utaumwa na kichwa.
Tena kipanda uso. Napenda sana wanavyoendesha mambo yao hasa kutokuwajibu wapinzani wao.Kanisa katoliki liacheni kikae lilivyo!!! Ukilifuatilia utaumwa na kichwa.
Mchango...!!Sijui Magufuli watu kama hawa aliwapataje. Ambapo kwa sasa kama vile hawapo.
===
Maaskofu wa Kanisa Katoliki Nchini wapo Vatican kukutana na Kiongozi Mkuu wa Kanisa hilo kama sehemu ya ratiba za kawaida za Maaskofu kukutana na Papa kila baada ya miaka michache.
Baadhi ya picha kutoka Vatican zinamuonesha Jen. Mabeyo akiwa na Maaskofu na nyingine ikimuonesha akisoma somo Katika mojawapo ya misa iliyofanyika huko. Hii inatoa tasiwra kuwa huenda akakutana na papa Francis siku za hivi karibuni.
Desemba 4, 2021 Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis alituma barua ya Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jen. Mabeyo kumshukuru kwa mchango wake mkubwa kwenye kanisa hilo.
Inaliogopa☺️😊Misabato na milokole huwa inaiwaza kanisa katoliki muda wote
Mabeyo huwa anaandika sana vitabu vihusuvyo Imani Catholic akifundisha mambo mbalimbali ya familia na kanisa kwa ujumla (binafsi ninacho kimoja) so kupewa kwake pongezi siyo nje ya hayo.Si ajabu Waislamu Huwa wanasema Kuna mfumo Katoliki.
Vipi na cdf wa Sasa ni WA kutokea huko huko?
Ni ZAIDI ya hapo Mkuu!!Mabeyo huwa anaandika sana vitabu vihusuvyo Imani Catholic akifundisha mambo mbalimbali ya familia na kanisa kwa ujumla (binafsi ninacho kimoja) so kupewa kwake pongezi siyo nje ya hayo.
Hahahaaaaaa Yeriko ni muhuni kama wahuni wengine tuu haya mambo hayaweziTumuulize Jasusi Yericko Nyerere
Sijui Magufuli watu kama hawa aliwapataje. Ambapo kwa sasa kama vile hawapo.
===
Maaskofu wa Kanisa Katoliki Nchini wapo Vatican kukutana na Kiongozi Mkuu wa Kanisa hilo kama sehemu ya ratiba za kawaida za Maaskofu kukutana na Papa kila baada ya miaka michache.
Baadhi ya picha kutoka Vatican zinamuonesha Jen. Mabeyo akiwa na Maaskofu na nyingine ikimuonesha akisoma somo Katika mojawapo ya misa iliyofanyika huko. Hii inatoa tasiwra kuwa huenda akakutana na papa Francis siku za hivi karibuni.
Desemba 4, 2021 Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis alituma barua ya Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jen. Mabeyo kumshukuru kwa mchango wake mkubwa kwenye kanisa hilo.
Nakutakia Dominica njema 😀😀Ahsante kwa taarifa...
Ulale unono 😀😀Hakuna kama Roma
Kwani mnaposikia 'Mfumo Kristo' huwa mnaelewa ni kitu gani hicho? Tatizo kule msikitini watu huambiwa kuwa huo ni Mfumo wa Wakristo kupendeleana na kujazana kwenye nafasi fulani fulani. Huo ni zaidi ya hapo...nasisitiza, ni zaidi ya hapo. The Catholic church is extremely powerful, muwe mnaelewa.
ulikuwa sister au? hujaenda deepIla wamisionali wa Roma, wengi wanakunja Sana, mi bado kidogo ningekuwa Roma, mama mkuu muitaly alikuja kuzuri huku kwenye mashirika yao, kanipenda kataka nikafanye kazi kule makao makuu yao, nikaulizwa nikakubali sawa, ma boss wangu wa huku wamenibania Sina hamu, kwa hasira nikaachaga kazi, Ila wanakujaga nyumbani kuwasalimia wazazi wangu, alafu Kuna shirika jingine dereva kawaendesha waitaly kwenye vivutio, walivyoondoka wakamtumia ice Ile ice dereva kanyimwa hipo pale shirikani.