The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 3,445
- 8,300
Sijui Magufuli watu kama hawa aliwapataje. Ambapo kwa sasa kama vile hawapo.
===
Maaskofu wa Kanisa Katoliki Nchini wapo Vatican kukutana na Kiongozi Mkuu wa Kanisa hilo kama sehemu ya ratiba za kawaida za Maaskofu kukutana na Papa kila baada ya miaka michache.
Baadhi ya picha kutoka Vatican zinamuonesha Jen. Mabeyo akiwa na Maaskofu na nyingine ikimuonesha akisoma somo Katika mojawapo ya misa iliyofanyika huko. Hii inatoa tasiwra kuwa huenda akakutana na papa Francis siku za hivi karibuni.
Desemba 4, 2021 Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis alituma barua ya Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jen. Mabeyo kumshukuru kwa mchango wake mkubwa kwenye kanisa hilo.
===
Maaskofu wa Kanisa Katoliki Nchini wapo Vatican kukutana na Kiongozi Mkuu wa Kanisa hilo kama sehemu ya ratiba za kawaida za Maaskofu kukutana na Papa kila baada ya miaka michache.
Baadhi ya picha kutoka Vatican zinamuonesha Jen. Mabeyo akiwa na Maaskofu na nyingine ikimuonesha akisoma somo Katika mojawapo ya misa iliyofanyika huko. Hii inatoa tasiwra kuwa huenda akakutana na papa Francis siku za hivi karibuni.
Desemba 4, 2021 Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis alituma barua ya Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jen. Mabeyo kumshukuru kwa mchango wake mkubwa kwenye kanisa hilo.