GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,686
- 109,103
Kuna Baa Tatu maarufu zilizoko sehemu tofauti tofauti Wilayani Kinondoni Wamejazana kiasi kwamba Tanzania ingekuwa na Waasi au Magaidi na Bomu Kutupwa waliko hivi sasa Jeshi na Tanzania lingekuwa linaomboleza Vifo vya Wanajeshi wake wapatao Tisini ( 90 ) waliokuwa Wakilewa ( Wakigambeka ) katika Baa maarufu tofauti tofauti Tatu Wilaya ya Kinondoni Mkoani Dar es Salaam.
Ukiona GENTAMYCINE nimeanza Kukemea Jambo fulani jua kuna Kitu kibaya nimeanza Kukihisi kuwa kisipowahiwa sasa kwa Kudhibiti hali itakuwa mbaya huko mbeleni na mtakuja hapa kusema kuwa GENTAMYCINE ni Nabii au Muonaji au Mchawi kwa Kutabiri Tukio ( Matukio ) ambayo huwa yana 85% ya kutokea.
Ukiona GENTAMYCINE nimeanza Kukemea Jambo fulani jua kuna Kitu kibaya nimeanza Kukihisi kuwa kisipowahiwa sasa kwa Kudhibiti hali itakuwa mbaya huko mbeleni na mtakuja hapa kusema kuwa GENTAMYCINE ni Nabii au Muonaji au Mchawi kwa Kutabiri Tukio ( Matukio ) ambayo huwa yana 85% ya kutokea.