CCTV CAMERA za kisasa wireless

CCTV CAMERA za kisasa wireless

Hizi camera ni nzuri na nimependa ufanyaji wake wa kazi. Changamoto nnayoiona ni kwenye uhifadhi wa kumbukumbu za matukio na maelezo ya vifaa vinavyotakiwa.

Kwa mfanno, cctv za kawaida, zinakifaa kinaitwa DVR ambacho ndio kinaunganisha na kuendesha mfumo wote wa cctv.

Sasa kwenye hizi camera, kwanza sijaelewa hiyo memory card ya kumbukumbu inawekwa kwenye kila camera au kuna kifaa kimoja kinachoziunganisha zote?

Pili router sio lazima iwe ni hitaji la kufunga hizi camera, kinachotakiwa uwe na Wireless Internet, napo sijajua vizuri uwiano wa camera na bandwidth inayohitajika. Mwenye Camera moja hawezi kuwa na mahitaji ya bandwidth kama mwenye camera sita au kumi.

Nnachopenda kujua, kama hakuna kifaa kama DVR na zinategemea wireless internet pekee, inamaana pale inapotokea hakuna wireless siwezi kupata matukio yaliyotokea wakati huduma ya internet ilipokua haipo?

Mwisho kabisa, mfumo wake wa umeme ukoje, kila camera inajitegemea au zimeunganishwa kwenye kifaa kimoja? Zina battery au backup ya kuweza kusaidia pale inapotokea hakuna umeme?

Nashukuru sana, ntakachofanya ntapitia hiyo model uliyoitoa kupata maelezo na specification zaje huenda ikanipa vitu muhimu. Ila kwa ufupi nimezipenda.
 
Hizi camera ni nzuri na nimependa ufanyaji wake wa kazi. Changamoto nnayoiona ni kwenye uhifadhi wa kumbujumbu za matukio na maelezo ya vifaa vinavyotakiwa.

Kwa mfanno, cctv za kawaida, zinakifaa kinaitwa DVR ambacho ndio kinaunganisha na kuendesha mfumo wote wa cctv.

Sasa kwenye hizi camera, kwanza sijaelewa hiyo memory card ya kumbukumbu inawekwa kwenye kila camera au kuna kifaa kimoja kinachoziunganisha zote?

Pili router sio lazima iwe ni hitaji la kufunga hizi camera, kinachotakiwa uwe na Wireless Internet, napo sijajua vizuri uwiano wa camera na bandwidth inayohitajika. Mwenye Camera moja hawezi kuwa na mahitaji ya bandwidth kama mwenye camera sita au kumi.

Nnachopenda kujua, kama hakuna kifaa kama DVR na zinategemea wireless internet pekee, inamaana pale inapotokea hakuna wireless siwezi kupata matukio yaliyotokea wakati huduma ya internet ilipokua haipo?

Mwisho kabisa, mfumo wake wa umeme ukoje, kila camera inajitegemea au zimeunganishwa kwenye kifaa kimoja? Zina battery au backup ya kuweza kusaidia pale inapotokea hakuna umeme?

Nashukuru sana, ntakachofanya ntapitia hiyo model uliyoitoa kupata maelezo na specification zaje huenda ikanipa vitu muhimu. Ila kwa ufupi nimezipenda.
Maswali mahiri kabisa....ukijibiwa ntag please..

kwa mujibu wa vipimo vya mkemia mkuu
 
1-Hiyo bei ni Pamoja na installation? Na ni kwa Kila monitor moja?

2- Bei YA Hiyo internet YA kuweka eneo husika ni gharama kama kiasi gani?

3- Hebu tafadhali dadavua gharama YA kuweka monitor moja sehemu. Yaani gharama jumla na kuanza Kupata huduma kwenye simu ni sh ngapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilisoma na kuelewa! Thread yake ilikuwa na mistari isiyozidi mitano tu! Baada ya kumkumbusha kuwa haieleweki ndipo sasa aka I edit ikawa kama ulivyoisoma wewe!

Ndio maana zamani ilikua inaonyesha last edited, siku hizi baada ya maboresho sioni tena hiyo kitu. Mtu anaweza kubadili content za post bila kujulikana na wasomaji wakawa hawaelewi nini kinaendelea.
 
Sema complete package ni Tshs ngapi ili uwezo kuona ktk monitor na simu maana hiyo Bei uliyotoa ni ya kamera kavu tu! Correct me if I'm wrong!

If you know your enemy than yourself you shall never suffer a defeat
Mkuu hiyo bei ni ya pc 1 inakuwa na Camera,adapter, na stand yake ya ukutani tu
626768fb79a6d3298fcee92a0bb2ea9c.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app

[/color]
 
Hizi camera ni nzuri na nimependa ufanyaji wake wa kazi. Changamoto nnayoiona ni kwenye uhifadhi wa kumbukumbu za matukio na maelezo ya vifaa vinavyotakiwa.

Kwa mfanno, cctv za kawaida, zinakifaa kinaitwa DVR ambacho ndio kinaunganisha na kuendesha mfumo wote wa cctv.

Sasa kwenye hizi camera, kwanza sijaelewa hiyo memory card ya kumbukumbu inawekwa kwenye kila camera au kuna kifaa kimoja kinachoziunganisha zote?

Pili router sio lazima iwe ni hitaji la kufunga hizi camera, kinachotakiwa uwe na Wireless Internet, napo sijajua vizuri uwiano wa camera na bandwidth inayohitajika. Mwenye Camera moja hawezi kuwa na mahitaji ya bandwidth kama mwenye camera sita au kumi.

Nnachopenda kujua, kama hakuna kifaa kama DVR na zinategemea wireless internet pekee, inamaana pale inapotokea hakuna wireless siwezi kupata matukio yaliyotokea wakati huduma ya internet ilipokua haipo?

Mwisho kabisa, mfumo wake wa umeme ukoje, kila camera inajitegemea au zimeunganishwa kwenye kifaa kimoja? Zina battery au backup ya kuweza kusaidia pale inapotokea hakuna umeme?

Nashukuru sana, ntakachofanya ntapitia hiyo model uliyoitoa kupata maelezo na specification zaje huenda ikanipa vitu muhimu. Ila kwa ufupi nimezipenda.
Ok!! Mkuu upande wa memory storage inatumia TF card(memory card) haitumii DVR wala NVR,memory Card 16GB utarecord kwa wiki moja,32GB kwa wiki mbili pia kwa 64GB kwa mwezi mzima hapo ni 24/7 kwa kiwango cha HD,ambapo kama utatumia laptop au simu(android&iphone)unaweza ndio ukawa unastore memory,Upande wa Betri haitumi batri inatumia adapter 12V,2A
 
1-Hiyo bei ni Pamoja na installation? Na ni kwa Kila monitor moja?

2- Bei YA Hiyo internet YA kuweka eneo husika ni gharama kama kiasi gani?

3- Hebu tafadhali dadavua gharama YA kuweka monitor moja sehemu. Yaani gharama jumla na kuanza Kupata huduma kwenye simu ni sh ngapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa! King'asti,hiyo gharama ni ya kifaa tu,installation ni simple sio tatizo sana inajieleza kwenye kitabu cha muongozo ambacho utakipata ndani yake,na hata kama utaona shida utanipigia simu 0754835543 takuelekeza tu,upande wa gharama za internet haitumii kiwango kikubwa.Pia upande wa gharama za hudumu ya internet kwaajili ya kamera hizo hazipo kwangu unaweza nunua router,sijui kama nimekujibu sawa na ulivyouliza??...asante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni nzuri wasiwasi wangu kulingana na Spec vs bei naona hiyo kama toy au itadumu wiki 1 inajifia ila kilingana na hela uliyonunua itakuwa imetosha. Najaribu kujiaminisha ni ya kichina lkn pia imetangenezwa kuuzwa huku kwetu kwenye simu ambazo TCRA alikuwa anajitutumua kuwa anauwezo kuzifungia simu feki

Bwana ataongoza safari
 
Ni nzuri wasiwasi wangu kulingana na Spec vs bei naona hiyo kama toy au itadumu wiki 1 inajifia ila kilingana na hela uliyonunua itakuwa imetosha. Najaribu kujiaminisha ni ya kichina lkn pia imetangenezwa kuuzwa huku kwetu kwenye simu ambazo TCRA alikuwa anajitutumua kuwa anauwezo kuzifungia simu feki

Bwana ataongoza safari
Zina ubora mzuri tu,na nasema hivyo kwasababu nina mwezi wa 4 tangia nimeanza kuziuza sijapata mtu wa kunilalamikia,pia suala la kuuzwa bei kubwa bidhaa ni kuzuia kasi ya mzunguko wa biashara sio kukosa ubora,jaribu kununua,karibu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni nzuri wasiwasi wangu kulingana na Spec vs bei naona hiyo kama toy au itadumu wiki 1 inajifia ila kilingana na hela uliyonunua itakuwa imetosha. Najaribu kujiaminisha ni ya kichina lkn pia imetangenezwa kuuzwa huku kwetu kwenye simu ambazo TCRA alikuwa anajitutumua kuwa anauwezo kuzifungia simu feki

Bwana ataongoza safari
Zina ubora mzuri tu,na nasema hivyo kwasababu nina mwezi wa 4 tangia nimeanza kuziuza sijapata mtu wa kunilalamikia,pia suala la kuuzwa bei kubwa bidhaa ni kuzuia kasi ya mzunguko wa biashara sio kukosa ubora,jaribu kununua,karibu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Napenda hii kifaa ila tatizo langu ni guarantee tu....je wewe unayefanya hii biashara ni mtu binafsi au ni kampuni? Nikinunua nikitegemea angalau kifaa kidumu angalau zaidi ya mwaka mzima halafu kikabuma ndani ya miezi mitatu au miwili ntakupataje?
Ofisi yako specifically iko wapi ambako atleast kifaa kikisumbua niwe na eneo ambalo naweza kurudisha kifaa hicho?
 
Upande wa internet inatakiwa eneo hilo unalofungia camera kuwe na access ya internet yaani Wireless ambapo camera itapokea na ndio itakuwa inatumia hapo,wewe ukiwa mbali utatumia kifurushi cha internet kama tunavyotumia kwenye simu zetu,utakuwa unastream eneo ulilofungia camera.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haujajibu swali, otherwise na wewe hujui...., umeulizwa how does it work?, camera - Internet - gadget(simu, pda, PCD), mfano muunganiko wa camera na simu ni through a certain App ama!?, kua kwenye eneo lenye coverage ya Internet ni jambo moja, how can the camera access such signals and sends data to your mobile device!?, does it need a SIM card!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom