Burton86jm
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 616
- 183
- Thread starter
- #61
Jamiix!! Sawa mkuu labda sikukuelewa,ndio kwenye android&iphone katika store zao kuna appl ya hizo kamera ambapo kuna details itakuomba za kameraHaujajibu swali, otherwise na wewe hujui...., umeulizwa how does it work?, camera - Internet - gadget(simu, pda, PCD), mfano muunganiko wa camera na simu ni through a certain App ama!?, kua kwenye eneo lenye coverage ya Internet ni jambo moja, how can the camera access such signals and sends data to your mobile device!?, does it need a SIM card!?
Sent using Jamii Forums mobile app
