CCTV CAMERA za kisasa wireless

CCTV CAMERA za kisasa wireless

Ni brand gani? Au hiyo CT-P721 ni jina lake? Ni mp ngapi? Luminous intensity(Lux) yake ni kiasi gani. Frequency range yake ni kiasi gani ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
internet access inatakiwa iwe kwenye simu ama kwenye hiyo Cam
 
Router ni nini?
Router ni kifaa kinachotafuta njia (route) ya kwenda kwenye internet. Ndo kifaa kinachokuunganisha kwenye internet. Chaweza kuwa PC ya kawaida yenye SW za routing au yaweza kuwa kifaa mahsusi chenye ukubwa unaotofautiana kulingana na mahitaji.
 
Bei ni reasonable, japo naiona changamoto ya kununua bando mara 2:
  1. Unanunua bando ya kuunganisha Kamera na Mtandao ili video ziweze kutumwa mtandaoni
  2. Unanunua bando la kutoa video mtandaoni na kuleta kwenye simu.
Jambo hili lazima wateja waeleweshwe vizuri maana lina gharama kubwa zinazojirudia. Wanaswa waeleweshwe kuwa atahitaji kutumia simu pale kunapokuwa na dharura au jambo la muhimu, la sivyo matukio yote yatahifadhiwa ktk memory,flash, etc. Jambo la msingi ni kwamba bando 2 zinahusika. Huwezi kuona kitu kwenye simu kama hakikutumwa kwanza mtandaoni. Na pia kukiona unahitaji mtandao. Ama sivyo ukitaka kutumia bado moja kwa kila kitu, basi usiende mbali na pale unaporekodi ili mtandao unaotumika kutuma utumike na kufungua.
 
CT-P721 ni CCTV camera za kisasa wireless ambazo zinafanya kazi na simu ANDROID na IPHONE.
Una uwezo wa kuifunga sehemu unayoitaka kama ofisini,nyumbani,apartment,hotelini au guest house eneo la reception au parking na ukawa unafatilia kinachoendelea kwa kutumia simu yako unastream live eneo lile,hapa kinachozingatia ni eneo ulilofunga kuwa na access ya internet tu.Basi hapo utaona kinachoendelea hata uwe njee ya mji au njee ya nchi au njee ya bara la afrika kwa wakati.Pia inakupa fursa katika simu yako hapo hapo kupiga picha eneo hilo linalooneshwa na kamera kupitia simu yako na kurekodi video,pia kuweza hata kumsemesha mtu unae muona kwenye kamera maana kamera ina spika ndogo ambayo anaweza kukuskia.Mbali na hilo pia ina sehemu ya TF card au memory card ambayo nayo inaweza ikawa inarekodi muda wote,16GB ni wiki nzima,32GB ni wiki mbili na 64GB ni mwezi hapo ni 24/7

MOTION DETECTION
Katika motion detection hii itakuwa nafasi ya kuitambulisha cctv camera maeneo muhimu ambayo utataka yakiguswa au kitu kupita mbele yake upate taarifa kwa e-mail,mfano kama mlango,droo,dirisha au sehemu yoyote utapata notification kwenye simu yako kama e-mail,Zinapatikana kwa Tsh.150,000/= tu.Mawasiliano 0754 83 55 43
c6ed2315383d0618d22df9082aef475c.jpg
76e0d2473270433952fc26aeb1aba028.jpg
89119dd822c90b9f8fe925f2de7a902b.jpg
fecc56d9a189fc14e629a36397350628.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
Sema complete package ni Tshs ngapi ili uwezo kuona ktk monitor na simu maana hiyo Bei uliyotoa ni ya kamera kavu tu! Correct me if I'm wrong!

If you know your enemy than yourself you shall never suffer a defeat
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom