Uchaguzi 2020 CCM yazidi kujihakikishia ushindi Uchaguzi Mkuu Kanda ya Ziwa

Kiasi kikubwa cha watu wa aina yako ndio tatizo la msingi la nchi hii. Small dreams!! Small dreams!!

Bro ukiendeleza hizi small dreams, mafanikio utayasikia na kuyaona kwa wengine tu!!
Kwani wakisema tu wamewafanyia nini kipi kinaharibika mkuu acha kujifanya mjuaji wakati unajua hujui..
 
Hatimae ile meli maarufu katika ziwa victoria New MV Victoria hapa kazi tu inanza safari zake hapo siku ya jumapili. Na kwa wakazi wa eneo la Kanda ya Ziwa huu ni ukombozi mkubwa kwa uchumi wa eneo hilo. Maana zaidi ya miaka saba usafiri toka Mwanza kwenda mkoani Kagera ulikuwa ni kwa njia ya barabara. Japokuwa barabara ni mkeka wa maana tokea Mwanza mpaka Bukoba mkoani Kagera lakini ulikuwa ni gharama Kubwa.

Wafanyabiashara wa ndizi wao walikuwa wanaumia zaidi sababu tani moja kwenye lori ni zaidi ya laki moja. Ila kwenye meli ni kama elfu ishirini na tano. Na kwao huu usafiri ni faraja kubwa. Pia, hata kwa abiria nauli ya meli ni karibu ya robo ya ile ya mabasi.

Kwa mantiki hii CCM inasubiri shukurani ya kura toka kwa wakazi wa Kagera na eneo zima la kanda ya ziwa victoria. Na projections zinaonyesha 98% ya kura za wananchi wa eneo hili sasa ni zawadi kwa CCM kwa kutekeleza ahadi aliyoitoa JPM ya kukarabati meli hii pamoja na Mv Butiama hapa kazi tu.

CHADEMA na wapinzani uchwara kama Act wazalendo ambao ni vibaraka wa mabeberu wasitarajie kupata hata kiti cha udiwani.
Kwa hiyo meli imetengenezwa kwa pesa ya CCM eti. Akili za maccm bwana ni za mgando hivi. Mnasifia mno mpaka akili zinaganda. Yaani meli itegenezwe kwa hela ya wananchi wote halafu halafu tuwashukuru CCM? Wamechangia kiasi gani kuliko wengine?
 
CCM kwa visa wanavyowafanyia upinzani, "POLISI, TRA, TISS, JESHI, WAKUU WA MIKOA, WAKUU WA WILAYA, WAKUU WA VITONGOJI, MAHAKAMA, NEC, TBC, CHANNEL 10" ndio kikosi chao 1st Eleven, halafu bado hawajiamini na wana vifua vya kujigamba.

Waweke "FAIR PLAY" waone balaa lake watakalokutana nalo.
Uko sahihi mkuu,yaani pamoja na refa kuwa wa kwao bado hawajiamini vigisu nyingi jamaa hataki wakurugenzi wawatangaze wapinzani kama wameshinda maajabu hayo only in Tanzania.
 
Hatimae ile meli maarufu katika ziwa victoria New MV Victoria hapa kazi tu inanza safari zake hapo siku ya jumapili. Na kwa wakazi wa eneo la Kanda ya Ziwa huu ni ukombozi mkubwa kwa uchumi wa eneo hilo. Maana zaidi ya miaka saba usafiri toka Mwanza kwenda mkoani Kagera ulikuwa ni kwa njia ya barabara. Japokuwa barabara ni mkeka wa maana tokea Mwanza mpaka Bukoba mkoani Kagera lakini ulikuwa ni gharama Kubwa.

Wafanyabiashara wa ndizi wao walikuwa wanaumia zaidi sababu tani moja kwenye lori ni zaidi ya laki moja. Ila kwenye meli ni kama elfu ishirini na tano. Na kwao huu usafiri ni faraja kubwa. Pia, hata kwa abiria nauli ya meli ni karibu ya robo ya ile ya mabasi.

Kwa mantiki hii CCM inasubiri shukurani ya kura toka kwa wakazi wa Kagera na eneo zima la kanda ya ziwa victoria. Na projections zinaonyesha 98% ya kura za wananchi wa eneo hili sasa ni zawadi kwa CCM kwa kutekeleza ahadi aliyoitoa JPM ya kukarabati meli hii pamoja na Mv Butiama hapa kazi tu.

CHADEMA na wapinzani uchwara kama Act wazalendo ambao ni vibaraka wa mabeberu wasitarajie kupata hata kiti cha udiwani.
Wapinzani kanda ya ziwa hawana chao hukoo
 
Hatimae ile meli maarufu katika ziwa victoria New MV Victoria hapa kazi tu inanza safari zake hapo siku ya jumapili. Na kwa wakazi wa eneo la Kanda ya Ziwa huu ni ukombozi mkubwa kwa uchumi wa eneo hilo. Maana zaidi ya miaka saba usafiri toka Mwanza kwenda mkoani Kagera ulikuwa ni kwa njia ya barabara. Japokuwa barabara ni mkeka wa maana tokea Mwanza mpaka Bukoba mkoani Kagera lakini ulikuwa ni gharama Kubwa.

Wafanyabiashara wa ndizi wao walikuwa wanaumia zaidi sababu tani moja kwenye lori ni zaidi ya laki moja. Ila kwenye meli ni kama elfu ishirini na tano. Na kwao huu usafiri ni faraja kubwa. Pia, hata kwa abiria nauli ya meli ni karibu ya robo ya ile ya mabasi.

Kwa mantiki hii CCM inasubiri shukurani ya kura toka kwa wakazi wa Kagera na eneo zima la kanda ya ziwa victoria. Na projections zinaonyesha 98% ya kura za wananchi wa eneo hili sasa ni zawadi kwa CCM kwa kutekeleza ahadi aliyoitoa JPM ya kukarabati meli hii pamoja na Mv Butiama hapa kazi tu.

CHADEMA na wapinzani uchwara kama Act wazalendo ambao ni vibaraka wa mabeberu wasitarajie kupata hata kiti cha udiwani.
Kununuliwa kwa hiyo meli ni wajibu wa serikali iliyoko madarakani wala si hongo kwa wananchi ili ccm wapate kura!!Hivyo wananchi wako huru kuwapiga chini!!.
 
Hatimae ile meli maarufu katika ziwa victoria New MV Victoria hapa kazi tu inanza safari zake hapo siku ya jumapili. Na kwa wakazi wa eneo la Kanda ya Ziwa huu ni ukombozi mkubwa kwa uchumi wa eneo hilo. Maana zaidi ya miaka saba usafiri toka Mwanza kwenda mkoani Kagera ulikuwa ni kwa njia ya barabara. Japokuwa barabara ni mkeka wa maana tokea Mwanza mpaka Bukoba mkoani Kagera lakini ulikuwa ni gharama Kubwa.

Wafanyabiashara wa ndizi wao walikuwa wanaumia zaidi sababu tani moja kwenye lori ni zaidi ya laki moja. Ila kwenye meli ni kama elfu ishirini na tano. Na kwao huu usafiri ni faraja kubwa. Pia, hata kwa abiria nauli ya meli ni karibu ya robo ya ile ya mabasi.

Kwa mantiki hii CCM inasubiri shukurani ya kura toka kwa wakazi wa Kagera na eneo zima la kanda ya ziwa victoria. Na projections zinaonyesha 98% ya kura za wananchi wa eneo hili sasa ni zawadi kwa CCM kwa kutekeleza ahadi aliyoitoa JPM ya kukarabati meli hii pamoja na Mv Butiama hapa kazi tu.

CHADEMA na wapinzani uchwara kama Act wazalendo ambao ni vibaraka wa mabeberu wasitarajie kupata hata kiti cha udiwani.
Mashoga ya Lumumba mnatabu sana mnaonekana mitaro mlishalegezwa na mwenyekit wenu hadi akil zimewatoka machoko nyie na mwenyekit wenu.
 
Hatimae ile meli maarufu katika ziwa victoria New MV Victoria hapa kazi tu inanza safari zake hapo siku ya jumapili. Na kwa wakazi wa eneo la Kanda ya Ziwa huu ni ukombozi mkubwa kwa uchumi wa eneo hilo. Maana zaidi ya miaka saba usafiri toka Mwanza kwenda mkoani Kagera ulikuwa ni kwa njia ya barabara. Japokuwa barabara ni mkeka wa maana tokea Mwanza mpaka Bukoba mkoani Kagera lakini ulikuwa ni gharama Kubwa.

Wafanyabiashara wa ndizi wao walikuwa wanaumia zaidi sababu tani moja kwenye lori ni zaidi ya laki moja. Ila kwenye meli ni kama elfu ishirini na tano. Na kwao huu usafiri ni faraja kubwa. Pia, hata kwa abiria nauli ya meli ni karibu ya robo ya ile ya mabasi.

Kwa mantiki hii CCM inasubiri shukurani ya kura toka kwa wakazi wa Kagera na eneo zima la kanda ya ziwa victoria. Na projections zinaonyesha 98% ya kura za wananchi wa eneo hili sasa ni zawadi kwa CCM kwa kutekeleza ahadi aliyoitoa JPM ya kukarabati meli hii pamoja na Mv Butiama hapa kazi tu.

CHADEMA na wapinzani uchwara kama Act wazalendo ambao ni vibaraka wa mabeberu wasitarajie kupata hata kiti cha udiwani.
 
Hatimae ile meli maarufu katika ziwa victoria New MV Victoria hapa kazi tu inanza safari zake hapo siku ya jumapili. Na kwa wakazi wa eneo la Kanda ya Ziwa huu ni ukombozi mkubwa kwa uchumi wa eneo hilo. Maana zaidi ya miaka saba usafiri toka Mwanza kwenda mkoani Kagera ulikuwa ni kwa njia ya barabara. Japokuwa barabara ni mkeka wa maana tokea Mwanza mpaka Bukoba mkoani Kagera lakini ulikuwa ni gharama Kubwa.

Wafanyabiashara wa ndizi wao walikuwa wanaumia zaidi sababu tani moja kwenye lori ni zaidi ya laki moja. Ila kwenye meli ni kama elfu ishirini na tano. Na kwao huu usafiri ni faraja kubwa. Pia, hata kwa abiria nauli ya meli ni karibu ya robo ya ile ya mabasi.

Kwa mantiki hii CCM inasubiri shukurani ya kura toka kwa wakazi wa Kagera na eneo zima la kanda ya ziwa victoria. Na projections zinaonyesha 98% ya kura za wananchi wa eneo hili sasa ni zawadi kwa CCM kwa kutekeleza ahadi aliyoitoa JPM ya kukarabati meli hii pamoja na Mv Butiama hapa kazi tu.

CHADEMA na wapinzani uchwara kama Act wazalendo ambao ni vibaraka wa mabeberu wasitarajie kupata hata kiti cha udiwani.
 
Hatimae ile meli maarufu katika ziwa victoria New MV Victoria hapa kazi tu inanza safari zake hapo siku ya jumapili. Na kwa wakazi wa eneo la Kanda ya Ziwa huu ni ukombozi mkubwa kwa uchumi wa eneo hilo. Maana zaidi ya miaka saba usafiri toka Mwanza kwenda mkoani Kagera ulikuwa ni kwa njia ya barabara. Japokuwa barabara ni mkeka wa maana tokea Mwanza mpaka Bukoba mkoani Kagera lakini ulikuwa ni gharama Kubwa.

Wafanyabiashara wa ndizi wao walikuwa wanaumia zaidi sababu tani moja kwenye lori ni zaidi ya laki moja. Ila kwenye meli ni kama elfu ishirini na tano. Na kwao huu usafiri ni faraja kubwa. Pia, hata kwa abiria nauli ya meli ni karibu ya robo ya ile ya mabasi.

Kwa mantiki hii CCM inasubiri shukurani ya kura toka kwa wakazi wa Kagera na eneo zima la kanda ya ziwa victoria. Na projections zinaonyesha 98% ya kura za wananchi wa eneo hili sasa ni zawadi kwa CCM kwa kutekeleza ahadi aliyoitoa JPM ya kukarabati meli hii pamoja na Mv Butiama hapa kazi tu.

CHADEMA na wapinzani uchwara kama Act wazalendo ambao ni vibaraka wa mabeberu wasitarajie kupata hata kiti cha udiwani.
Kodi ya wananchi ndio imetengeneza hiyo Meli na sio ela ya CCM. Pesa ya CCM inakazi moja tu ya kurubuni wapinzani waunge juhudi...Usijaribu kuwakumbusha watu wa Kagera kauli tata na za kuvunja moyo za Jiwe nyakati tofauti wakati wa matatizo ya tetemeko la ardhi na mafuriko ya hivi karibuni ...anaweza akakosa hata kura chache alizopota 2015.
 
Nasikia Bibi Husna wa Chato anawasumbua CCM vibaya. Nadhani tumwache apambane na ccm kanda ya ziwa anawatosha sana.
Muda si mrefu nilikuwa naongea na ndugu yuko Botswana. Huko bado nchi iko kwenye "lockdown" na vyombo vya habari vinaamilikiwa na Serikali (inafuata na kutekeleza maagizo ya Mabeberu). Kwa sababu hiyo Bibi Husna asingepata kutamba kama anavyofanya Chato, tena nyumbani kwake Rais. Lakini bado upinzani na wanahabari wanadai hakuna uhuru nchini?

Kuanza kazi kwa ya hizo meli, Ziwa Victoria, hakika ni mwanzo wa safari ya matumaini kwa wakazi wa ukanda huo, japo wapinzani hudai ni "maendeleo ya vitu". Maendeleo hayo ya vitu, bila shaka, ndiyo yatakayowatoa wapinzani nje ya ulingo wa siasa
 
CCM kwa visa wanavyowafanyia upinzani, "POLISI, TRA, TISS, JESHI, WAKUU WA MIKOA, WAKUU WA WILAYA, WAKUU WA VITONGOJI, MAHAKAMA, NEC, TBC, CHANNEL 10" ndio kikosi chao 1st Eleven, halafu bado hawajiamini na wana vifua vya kujigamba.

Waweke "FAIR PLAY" waone balaa lake watakalokutana nalo.

Kwa kujiamini wanamtandao wa upinzani mko vizuri.

Ila kwa sasa mbadili mapigo badala ya lawama, shutuma na manung'uniko, mjenga hoja za kunadi Sera na Mikakati yenu ya maendeleo. Ila nadhani ni mtihani msio uweza kwa kuwa hamna Sera/Mikakati. Mmezoea hoja za mihemuko (kama hiyo yako Mkuu, Alexander The Great) na matusi juu
 
Kwa meli ni 12,000/=.Halafu unaanza safari usiku unafika asubuhi.Hivyo muda wa kazi mchana haupotei.
Kuna watu wanafanya kazi usiku, tatizo lako umeandika kishabiki sana hizo ni kodi zetu wananchi CCM tuliwapa nchi kusimamia ilani yao kwahiyo msijisifie sana
 
Muda si mrefu nilikuwa naongea na ndugu yuko Botswana. Huko bado nchi iko kwenye "lockdown" na vyombo vya habari vinaamilikiwa na Serikali (inafuata na kutekeleza maagizo ya Mabeberu). Kwa sababu hiyo Bibi Husna asingepata kutamba kama anavyofanya Chato, tena nyumbani kwake Rais. Lakini bado upinzani na wanahabari wanadai hakuna uhuru nchini?

Kuanza kazi kwa ya hizo meli, Ziwa Victoria, hakika ni mwanzo wa safari ya matumaini kwa wakazi wa ukanda huo, japo wapinzani hudai ni "maendeleo ya vitu". Maendeleo hayo ya vitu, bila shaka, ndiyo yatakayowatoa wapinzani nje ya ulingo wa siasa
Zaidi ya nusu ya miradi yote nchini ipo kanda ya ziwa changanya udikteta na kutokuwepo tume huru na ubabe wa kuua wapinzani ccm bado hawana uhakika wa kushinda.
 
Back
Top Bottom