Uchaguzi 2020 CCM yazidi kujihakikishia ushindi Uchaguzi Mkuu Kanda ya Ziwa

JPM ni masiya aliyetumwa aje kuikomboa nchi hii nakuipeleka nchi ya ahadi,waTanzania hamna utofauti na wana wa Israel maana hata wana wa Israel walipokaribia nchi ya ahadi waliomba kurudishwa kwa Farao.

Ss waTanzania tumekaribia nchi ya ahadi tusirudi tena kule kwa farao,vumilieni kula mtori nyama zipo chini jamani ,Magufuli mitano tena.
 
Kichwa maji Sana wewe, sijui una degree ngapi za ujinga!. Maana unamtukana matusi. Naomba tuishie hapa maana hauna lol
You can't be serious brother😃😃😃😃.
Hujielewi kafie mbele huko ww ni sifia sifia... Wewe ni ccm sio mtamzania
 
Hatimae ile meli maarufu katika ziwa victoria New MV Victoria hapa kazi tu inanza safari zake hapo siku ya jumapili. Na kwa wakazi wa eneo la Kanda ya Ziwa huu ni ukombozi mkubwa kwa uchumi wa eneo hilo. Maana zaidi ya miaka saba usafiri toka Mwanza kwenda mkoani Kagera ulikuwa ni kwa njia ya barabara. Japokuwa barabara ni mkeka wa maana tokea Mwanza mpaka Bukoba mkoani Kagera lakini ulikuwa ni gharama Kubwa.

Wafanyabiashara wa ndizi wao walikuwa wanaumia zaidi sababu tani moja kwenye lori ni zaidi ya laki moja. Ila kwenye meli ni kama elfu ishirini na tano. Na kwao huu usafiri ni faraja kubwa. Pia, hata kwa abiria nauli ya meli ni karibu ya robo ya ile ya mabasi.

Kwa mantiki hii CCM inasubiri shukurani ya kura toka kwa wakazi wa Kagera na eneo zima la kanda ya ziwa victoria. Na projections zinaonyesha 98% ya kura za wananchi wa eneo hili sasa ni zawadi kwa CCM kwa kutekeleza ahadi aliyoitoa JPM ya kukarabati meli hii pamoja na Mv Butiama hapa kazi tu.

CHADEMA na wapinzani uchwara kama Act wazalendo ambao ni vibaraka wa mabeberu wasitarajie kupata hata kiti cha udiwani.
Iwe si ungetuwekea na ka picha kidogo??
Halfu hii mali ni mpya au imefanyiwa ukarabati
 
Back
Top Bottom