TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,534
JPM ni masiya aliyetumwa aje kuikomboa nchi hii nakuipeleka nchi ya ahadi,waTanzania hamna utofauti na wana wa Israel maana hata wana wa Israel walipokaribia nchi ya ahadi waliomba kurudishwa kwa Farao.
Ss waTanzania tumekaribia nchi ya ahadi tusirudi tena kule kwa farao,vumilieni kula mtori nyama zipo chini jamani ,Magufuli mitano tena.
Ss waTanzania tumekaribia nchi ya ahadi tusirudi tena kule kwa farao,vumilieni kula mtori nyama zipo chini jamani ,Magufuli mitano tena.