We mbona unaulizia za Nccr Mageuzi? Hujui kuwa wanatambua uchapakazi wa JPM? Pia sio pinga pinga. Tume hutoa matokeo baada ya kura kupigwa. Hizo 98% ni tathimini za wataalamu wa siasa.Nccr watapata kura kiasi gani? Hizo % ndio maagizo ambayo tume isiyo huru ya uchaguzi wamepewa ili wamtangaze kiongozi wa kikomunisti.
Kwa meli inapungua zaidi.Ukombozi gani wakati mwanza tu bukoba masaa 9 kwa buss ni 20000 tu. Inamaana watu walikuwa hawawezi kusafiri?
Covid19 imeshamfanya kitoweo in other words corona umempenda zaidi.Kwani dogo Bia yetu anasemaje kuhusu hili
Sijui chadomo watasema waliwafanyia Nini wapiga kura
Kudhibiti uvuvi haramu sio kuwatesa wavuvi. Sasa hivi samaki ni wakubwa na wanapatikana kwa wingi.Huko wamewatesa Sana wavuvi awapati kura dodoma pekee
We mbona unaulizia za Nccr Mageuzi? Hujui kuwa wanatambua uchapakazi wa JPM? Pia sio pinga pinga.
Tume huto matokeo baada ya kura kupigwa. Hizo 98% ni tathimini za wataalamu wa siasa.
Sio kweli utafiti umezingatia namna JPM alivyotekeleza ahadi zake na jinsi wananchi wanavyomkubali.Ww umesema cdm na Act, lakini nimeshangaa hutaji nafasi ya chama chako ulichohamia. Hakuna uchaguzi nimekuambia, bali kuna ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Hiyo 98% ni utafiti wa walioko kwenye mlo chini ya awamu hii.
Tuwe wakweli tuu, hivi darasa la saba ulimaliza ndugu yetu?Sijui chadomo watasema waliwafanyia Nini wapiga kura
Ile fedha ya maafa rambirambi toka kwa mabeberu mmeirudisha? Kama hamtaleta hiyo fedha msitegemee kura za wa Kagera.Tumshukuru mungu kwa kutuleta jpm
Sio kweli utafiti umezingatia namna JPM alivyotekeleza ahadi zake na jinsi wananchi wanavyomkubali.
Hata ukitajiwa huwezi kuwaamini. Maana wewe kila taasisi hauiamini. Kama vyombo vya habari vimedhibitiwa mbona vinaandika habari kila siku? Au ulitaka wawe wanapotosha kama Tanzania daima inavyofanya?Kwenye nchi ambayo tayari wananchi wanatawaliwa kwa kujengewa hofu na vyombo vya habari vimedhibitiwa, unawezaje kupima kwa usahihi? Unaweza ukanitajia waliofanya huo utafiti, ili nione ni chombo au taasisi gani?
Hata ukitajiwa huwezi kuwaamini. Maana wewe kila taasisi hauiamini. Kama vyombo vya habari vimedhibitiwa mbona vinaandika habari kila siku? Au ulitaka wawe wanapotosha kama Tanzania daima inavyofanya?
Twaweza walieneza uchochezi wa wazi kabisa kama lilivyo gazeti la Chadema. Usitetee uovu, kama taasisi inakiuka maadili lazima ishughulikiwe.Sio kwamba sintawaamini, hata ww unajua fika sio rahisi wao kuaminika. Kuna taasisi ya Twaweza mpaka leo mkurugenzi wake kaporwa passport, kwa kufanya utafiti wa kweli usioifurahisha serikali. Weka sababu kumi zilizofanya Tanzania daima kufunguwa, kama sio siasa chafu na uonevu.
Twaweza walieneza uchochezi wa wazi kabisa kama lilivyo gazeti la Chadema. Usitetee uovu, kama taasisi inakiuka maadili lazima ishughulikiwe.
Kuchoma nyavu zaoKudhibiti uvuvi haramu sio kuwatesa wavuvi. Sasa hivi samaki ni wakubwa na wanapatikana kwa wingi.
Hapana,vp wewe mwenzanguTuwe wakweli tuu, hivi darasa la saba ulimaliza ndugu yetu?