Echolima
JF-Expert Member
- Oct 28, 2007
- 3,826
- 2,056
Msiwafanye watanzania wajinga bado wanakumbuka sana mliyowafanyia na watawapa majibu yenu October hii ili mjue kuwa kweli hamkuleta tetemeko!!!!Out of point. Subiri kesho uone.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msiwafanye watanzania wajinga bado wanakumbuka sana mliyowafanyia na watawapa majibu yenu October hii ili mjue kuwa kweli hamkuleta tetemeko!!!!Out of point. Subiri kesho uone.
Mawazo ya kijinga kabisa!!!!Wewe acha kukurupuka ishu sio kudai tume huru bali kuchapisha habari za uongo ili kuleta chuki kwa serikali.
Twaweza hawakubanwa kwa ajili ya sheria ya takwimu,bali hawakuwa na kibali toka Costech na walifanya tafiti za kupotosh umma. Kwa ufupi walikuwa wanatumiwa na Chadema wakishiriana na mabeberu.
Unafikiri kwa kutumia makalio. Na bichwa lako limejaa manailoniMsiwafanye watanzania wajinga bado wanakumbuka sana mliyowafanyia na watawapa majibu yenu October hii ili mjue kuwa kweli hamkuleta tetemeko!!!!
Kwani Hitler akufanya maendeleo ya uchumi na miundombinu apa Ujerumani?Kuingiza habari ya Adolph kwenye hili suala ni upuuzi. Kama michango ilizidi na ikatumika kwa maendeleo tatizo lipo wapi? Au ulitaka wapewe wakanywe lubisi?
Mbona kule ukara michango ilizidi na zilizobaki zilijenga kituo cha afya?
Binadamu mwenzio unamuita mbwa kweli...ebu jiangalie wewe una nini tofauti na huyu ulie muita mbwa koko? Alafu mkitoka apa eti CCM tunajari utu !!!Una uhakika kama aliongea wewe mbwa koko?
Pesa ilitumika kurekebisha miundo mbinu na kukarabati majengo ya umma. Au ulitaka ndugu zako wapewe cash wakanywe lubisi? Mbona kuna watu walilipiwa pango na kusaidiwa material ya kujengea nyumba.Kwani Hitler akufanya maendeleo ya uchumi na miundombinu apa Ujerumani?
Mbona wapo wengi ambao nyumba zao zilidondoka ,ziliharibika kwasababu ya tetemeko na mpaka leo zipo hivyo?
Kwahiyo bila ajari ya kivuko watu wa Ukara wasingepata kituo cha Afya? Vipi hao wana wa Bukoba kitu gani wamepata baada ya janga la tetemeko?
Ccm inahusika vipi hapa? Lugha chafu aliyotumia hujaiona?Binadamu mwenzio unamuita mbwa kweli...ebu jiangalie wewe una nini tofauti na huyu ulie muita mbwa koko? Alafu mkitoka apa eti CCM tunajari utu !!!
KwahiyoCcm inahusika vipi hapa? Lugha chafu aliyotumia hujaiona?
Kwahiyo waliotoa rambi rambi zilikua niza kurekebisha za miundo mbinu ya Serikali nasio kuwasaidia wananchi maskini?Sawa endelea kuwaita watu mbwa koko ila hao ni binadamu kama wewe.Pesa ilitumika kurekebisha miundo mbinu na kukarabati majengo ya umma. Au ulitaka ndugu zako wapewe cash wakanywe lubisi? Mbona kuna watu walilipiwa pango na kusaidiwa material ya kujengea nyumba.
Unauliza jibu?Kwahiyo
Mpina na genge lake wamefilisi wavuvi halafu Leo waifurahie CCM? Umerogwa wewe!!Hatimae ile meli maarufu katika ziwa victoria New MV Victoria hapa kazi tu inanza safari zake hapo siku ya jumapili. Na kwa wakazi wa eneo la Kanda ya Ziwa huu ni ukombozi mkubwa kwa uchumi wa eneo hilo. Maana zaidi ya miaka saba usafiri toka Mwanza kwenda mkoani Kagera ulikuwa ni kwa njia ya barabara. Japokuwa barabara ni mkeka wa maana tokea Mwanza mpaka Bukoba mkoani Kagera lakini ulikuwa ni gharama Kubwa.
Wafanyabiashara wa ndizi wao walikuwa wanaumia zaidi sababu tani moja kwenye lori ni zaidi ya laki moja. Ila kwenye meli ni kama elfu ishirini na tano. Na kwao huu usafiri ni faraja kubwa. Pia, hata kwa abiria nauli ya meli ni karibu ya robo ya ile ya mabasi.
Kwa mantiki hii CCM inasubiri shukurani ya kura toka kwa wakazi wa Kagera na eneo zima la kanda ya ziwa victoria. Na projections zinaonyesha 98% ya kura za wananchi wa eneo hili sasa ni zawadi kwa CCM kwa kutekeleza ahadi aliyoitoa JPM ya kukarabati meli hii pamoja na Mv Butiama hapa kazi tu.
CHADEMA na wapinzani uchwara kama Act wazalendo ambao ni vibaraka wa mabeberu wasitarajie kupata hata kiti cha udiwani.
Wewe acha kukurupuka ishu sio kudai tume huru bali kuchapisha habari za uongo ili kuleta chuki kwa serikali.
Twaweza hawakubanwa kwa ajili ya sheria ya takwimu,bali hawakuwa na kibali toka Costech na walifanya tafiti za kupotosh umma. Kwa ufupi walikuwa wanatumiwa na Chadema wakishiriana na mabeberu.
Kuwa muelewa sijasema wamechapisha habari kudai tume huru ya uchaguzi. Bali wamechapisha habari za uongo kuhusu askofu Bagonza kuhamasisha maandamano kudai tume huru.Nimekuambia leta sababu za Tanzania daima kufungiwa, ukasema wamechapisha kuhusu kudai tume huru ya uchaguzi. Ndio nataka kujua kudai tume huru ya uchaguzi kunaletaje chuki kwa serikali, wakati ni madai halali?
Hizo sheria za costech ni bad law, hizo ni baadhi ya sheria zenye nia ovu kwa utawala bora. Watawala pekee ndio waliokuwa wanaitaka hiyo sheria ili wapate nafasi ya kuwalisha wananchi watakacho, lakini wananchi wasijue lolote la upande wa pili. Ni wendawazimu kushabikia sheria mbovu.
Kuwa muelewa sijasema wamechapisha habari kudai tume huru ya uchaguzi. Bali wamechapisha habari za uongo kuhusu askofu Bagonza kuhamasisha maandamano kudai tume huru.
Costech ipo kwa mujibu wa sheria lazima ukitaka kufanya utafiti upate kibali. Kama Twaweza wanatumiwa na Chadema na mabeberu kwa nini wasishughulikiwe? Habari ya bad law hayo ni yako. Maana hata kifungu kinachopinga ushoga nyie Chadema mnasema ni bad law.
Alikuwa azindue treni ya SGR toka Dar hadi Moro mwezi Novemba, 2019 sasa anaanza kuzindua daraja la Pugu wiki ijayo. Daraja la Kibaha atazindua mwaka gani?Na badowiki ijayo anaenda zinduwa madaraja ya treni ya sgrmanyumbu tupo wengi kumbe
Kwa akili zako kazi za kiuchumi zinafanyika muda ambao sio usiku tu?Kwa meli ni 12,000/=.Halafu unaanza safari usiku unafika asubuhi.Hivyo muda wa kazi mchana haupotei.
Unfortunately huwa sibishani na watu kama wewe,bye.Kwa akili zako kazi za kiuchumi zinafanyika muda ambao sio usiku tu?
Ulikuwa unaelezea vzr mpaka ulipoamua kufunguka kwenye aya ya mwisho.Hatimae ile meli maarufu katika ziwa victoria New MV Victoria hapa kazi tu inanza safari zake hapo siku ya jumapili. Na kwa wakazi wa eneo la Kanda ya Ziwa huu ni ukombozi mkubwa kwa uchumi wa eneo hilo. Maana zaidi ya miaka saba usafiri toka Mwanza kwenda mkoani Kagera ulikuwa ni kwa njia ya barabara. Japokuwa barabara ni mkeka wa maana tokea Mwanza mpaka Bukoba mkoani Kagera lakini ulikuwa ni gharama Kubwa.
Wafanyabiashara wa ndizi wao walikuwa wanaumia zaidi sababu tani moja kwenye lori ni zaidi ya laki moja. Ila kwenye meli ni kama elfu ishirini na tano. Na kwao huu usafiri ni faraja kubwa. Pia, hata kwa abiria nauli ya meli ni karibu ya robo ya ile ya mabasi.
Kwa mantiki hii CCM inasubiri shukurani ya kura toka kwa wakazi wa Kagera na eneo zima la kanda ya ziwa victoria. Na projections zinaonyesha 98% ya kura za wananchi wa eneo hili sasa ni zawadi kwa CCM kwa kutekeleza ahadi aliyoitoa JPM ya kukarabati meli hii pamoja na Mv Butiama hapa kazi tu.
CHADEMA na wapinzani uchwara kama Act wazalendo ambao ni vibaraka wa mabeberu wasitarajie kupata hata kiti cha udiwani.