mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
Ahante! umemaliza....kumbe chanzo ni jamba leo. Ongera ccm kwa kumwaga mapesa kwa wanachama hawa mfu ili warudi ccm.chanzo ni jamboleo la tarehe 20 january.
Ahante! umemaliza....kumbe chanzo ni jamba leo. Ongera ccm kwa kumwaga mapesa kwa wanachama hawa mfu ili warudi ccm.chanzo ni jamboleo la tarehe 20 january.
CCM katika Halmashauri ya mji mdogo wa tunduma mkoani mbeya ,kimevuna wanachama 105 kutoka vyama vya upinzani vya CHADEMA,CUF na TLP, Akiwemo aliyekuwa katibu wa Chadema kata ya tunduma.
Katibu wa CCM Tunduma alieleza kuwa hatua hiyo ni ushindi wa CCM kwani eneo hilo ni ngome ya chadema.
Diwani wa kata hiyo ni wa CDM ambapo inaelezwa kuwa kumekuwa na uhasama mkubwa wa kisiasa kati ya CDM na CCM hadi kufikia hatua ya kukwama kwa shughuli za maendeleo kwani wananchi wanasusia kushiriki shughuli mbalimbali ikiwemo misiba,michango ya maendeleo nk.
My take.huu ni wakati wa kujiongezea wanachama hivyo chama kisilale hata sekunde moja.
CCM katika Halmashauri ya mji mdogo wa tunduma mkoani mbeya ,kimevuna wanachama 105 kutoka vyama vya upinzani vya CHADEMA,CUF na TLP, Akiwemo aliyekuwa katibu wa Chadema kata ya tunduma.
Katibu wa CCM Tunduma alieleza kuwa hatua hiyo ni ushindi wa CCM kwani eneo hilo ni ngome ya chadema.
Diwani wa kata hiyo ni wa CDM ambapo inaelezwa kuwa kumekuwa na uhasama mkubwa wa kisiasa kati ya CDM na CCM hadi kufikia hatua ya kukwama kwa shughuli za maendeleo kwani wananchi wanasusia kushiriki shughuli mbalimbali ikiwemo misiba,michango ya maendeleo nk.
My take.huu ni wakati wa kujiongezea wanachama hivyo chama kisilale hata sekunde moja.
Nadhani kama kuna mtu anajiunga na CCM kwasasa anapaswa kupelekwa wodi ya vichaa kuchekiwa akili....ni ngumu kuaimini ili,ufirahuni wa CCM bado unavutia watu kushiriki kazi zao.Wonderfull!!!
samahani mkuu,si unajua jamboleo ni gazeti dada la Tanzania Daima ndio mana habari zao ni za kuiremba cdm.kama ile ya juzi eti kikwete ameenda davos-sweden kwa ndege ya qatal.unabahati umesema chanzo! jambo leo nalo ni gazeti?? ala!
Hoja haina mashiko...Hapa hatutaki zilipendwa,hafu Kwani Rz cku hizi bado mmiliki wa Jambo leo ama..Magamba hawa
chanzo ni jamboleo la tarehe 20 january.
bado sengerema,geita na ilemela............mtamkoma Ngeleja.utaona zilipendwa lakini inakuuma.
CCM hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kidumu chama cha mapinduzi.
Kazi nzuri hongera CCM chama kongwe!