johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Mbona hata CHADEMA walkuwa wababe, wakakutana na mbabe, wakaishiwa ubabe. Sahizi nawasikia wameanza tena kelele. Kale kadada ka Dodoma kaliongea sana siku ile. Hii ni baada ya mbabe wa siasa za kibabe kuchomoa rout.Ubabe walikuwa wanamfanyia nani na kwa ulazima gani hadi wafikie huko na kwanini hawakutaka kufuata utaratibu wa kikanuni na sheria elekezi !?
Sidhani kauli hii yatosha kukisafisha chama hiki ambacho kina tuhuma lukuki nyingi zaidi ya hizo za kutesa, kuumiza, kupoteza watu na wizi wa kura uliotukuka.Katibu mkuu wa CCM ndugu Chongollo amesema CCM haitajiingiza katika siasa za kibabe na visasi bali itajikita kwenye siasa zake za asili zilizosheheni Upendo na Urafiki.
Huu ni mwanzo mzuri sana kwa sekretarieti mpya ya CCM na vyama makini vya upinzani ikiwemo ACT wazalendo wamepongeza.
Kazi Iendelee!
Vipi kuhusu wahudumu waliondolewa kurudishwa makao makuu hajasema neno?Katibu mkuu wa CCM ndugu Chongollo amesema CCM haitajiingiza katika siasa za kibabe na visasi bali itajikita kwenye siasa zake za asili zilizosheheni Upendo na Urafiki.
Huu ni mwanzo mzuri sana kwa sekretarieti mpya ya CCM na vyama makini vya upinzani ikiwemo ACT wazalendo wamepongeza.
Kazi Iendelee!
Hiki siyo chama tena ni genge la waharifuSidhani kauli hii yatosha kukisafisha chama hiki ambacho kina tuhuma lukuki nyingi zaidi ya hiyo ya kutesa, kuumiza na wizi wa kura tena wa waziwazi.
Hakikuwa chama ilikuwa ni genge la wahuni mkuuUbabe walikuwa wanamfanyia nani na kwa ulazima gani hadi wafikie huko na kwanini hawakutaka kufuata utaratibu wa kikanuni na sheria elekezi !?
Sasa mbege itaruhusiwa kunywewa kwenye sherehe za CCM, subiri tenda manka!Vipi kuhusu wahudumu waliondolewa kurudishwa makao makuu hajasema neno?
Tuhuma bila ushahidi ni uzushi tu!Sidhani kauli hii yatosha kukisafisha chama hiki ambacho kina tuhuma lukuki nyingi zaidi ya hiyo ya kutesa, kuumiza na wizi wa kura tena wa waziwazi.
Upendo na Urafiki mwema!Act wamekurupuka tena? kama ccm inamaanisha siasa za upendo ndani ya ccm tu
Nashangaa wahudumu wazoefu kutorudishwa makao makuuSasa mbege itaruhusiwa kunywewa kwenye sherehe za CCM, subiri tenda manka!
Dikteta magufuli wenzie wanadhidi kumkana kadri siku zinavyoenda,,Katibu mkuu wa CCM ndugu Chongollo amesema CCM haitajiingiza katika siasa za kibabe na visasi bali itajikita kwenye siasa zake za asili zilizosheheni Upendo na Urafiki.
Huu ni mwanzo mzuri sana kwa sekretarieti mpya ya CCM na vyama makini vya upinzani ikiwemo ACT wazalendo wamepongeza.
Kazi Iendelee!
ushahidi gani mkuu? kukisafisha chama cha mapinduzi unahitaji uwe na roho isiyo na aibu!!Tuhuma bila ushahidi ni uzushi tu!
Hahahaaaa..... Urafiki mwema!Nashangaa wahudumu wazoefu kutorudishwa makao makuu
Kutojiingiza katika siasa za kibabe ni pamoja na kukubali kuanzisha TUME HURU YA UCHAGUZI, na kuondoa Sheria kandamizi za uchaguzi!Katibu mkuu wa CCM ndugu Chongollo amesema CCM haitajiingiza katika siasa za kibabe na visasi bali itajikita kwenye siasa zake za asili zilizosheheni Upendo na Urafiki.
Huu ni mwanzo mzuri sana kwa sekretarieti mpya ya CCM na vyama makini vya upinzani ikiwemo ACT wazalendo wamepongeza.
Kazi Iendelee!
Ushuzi tupuDikteta magufuli wenzie wanadhidi kumkana kadri siku zinavyoenda,,
Mungu amtupe fiinali Jehanamu.