Kwa nini ibaki huko...!?tukifanya uchaguzi leo kuna uwezekano chadema ikabaki kwa Lisu na Rema tu
Kihesabu tupo chama kimmoja.Duh! Kwahiyo sasa tunarudi kwenye chama kimoja, hii imekaa vibaya.
Acha hasira hizi ni siasa mkuu tuuMtu kichaa akichukua nguo zako akati ukioga akakimbia nazo usimkimbize uko uchi kwani ww utaonekana ww ni kichaa zaidi yake wacha aende zake ww ni mwendawazim.
Kumbe hasra! hayo ndo mawazo yako ndg hapa hakuna hasira ,hasra ziko ccm kwenye vikosi vya kuteka n kuuwa kwann huulizi swala je nikiasi gani ccm wanachotumia kununua wapinzani badala ya kufanya maendeleo kwa nchi?leo hata ww hapo nikikuuliza toka serikali hii imeingia madarakani nn imefanya zaidi y kufungua kazi za muheshmiwa kikwete?bajeti zake zote mbili zimefanya nn?tuliambiwa wafanyakazi hewa,kodi warokwepa wamelipa je zimefanya kazi gani zaidi ya kutumia kununua wapinzani?fanya uchunguzi kwanza kabla ya kusifia mpumbavu ww hv huwa mnafanywaje ?.Acha hasira hizi ni siasa mkuu tuu
Chadema kwisha kazi yake.Kumbe hasra! hayo ndo mawazo yako ndg hapa hakuna hasira ,hasra ziko ccm kwenye vikosi vya kuteka n kuuwa kwann huulizi swala je nikiasi gani ccm wanachotumia kununua wapinzani badala ya kufanya maendeleo kwa nchi?leo hata ww hapo nikikuuliza toka serikali hii imeingia madarakani nn imefanya zaidi y kufungua kazi za muheshmiwa kikwete?bajeti zake zote mbili zimefanya nn?tuliambiwa wafanyakazi hewa,kodi warokwepa wamelipa je zimefanya kazi gani zaidi ya kutumia kununua wapinzani?fanya uchunguzi kwanza kabla ya kusifia mpumbavu ww hv huwa mnafanywaje ?.
Hata ukitumia lugha za kihuni huni haitakusaidia kitu. Chadema kwishilia mbali.Kwa uelewa wako mdogo utasema hivyo kwakuwa ubongo wako ni wa kondoo fikra kidogo,cha ajabu nn kuhama chama mtu?usiwe mbweha ndg
Wala hakuna lugha ya kihuni hapo zaidi ya ww kuwa uelewa wako mdogo sana ndo maana unasema hivyo wp kuna uhuni hapo ,watu kuhama c jambo geni kweni wangapi wametoka ccm na sasa wak9 CDM ,ACT na vyama vingine unashangaa nini ewe mpumbavu.Hata ukitumia lugha za kihuni huni haitakusaidia kitu. Chadema kwishilia mbali.