Duh mbona ACT atabaki zitto peke yake. Ila mwisho wa yote CCM ni chama cha watu wajinga wajinga tu.
MWENYEKITI MPYA UVCCM AANZA KWA KUVUNA VIONGOZI WA UPINZANI KAMA KUMBI KUMBI
VIONGOZI WAFUATAO TOKA TARIME, MWANZA, BUNDA, DAR, BUTIAMA WAPOKELEWA NA MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA NDUGU KHERI JAMES JANA JIONI KWENYE MKUTANO MAALUM WA KUTAMBULISHWA KWAO AMBAPO ALIKUWA NA MH. HUMPHREY POLEPOLE NA NAIBU KATIBU MKUU WA CCM TANZANIA BARA, MH. MPOGORO.
1. Pascal Maswi Waryoba
Mwenyekiti ACT (W) Tarime.
2. Antoni Matiko Marigiri
katibu wa mipango na uchaguzi (W) Tarime
3. Yasini Iddy Daudi
katibu vijana ACT (W) Tarime
4. Julius Sinda Nyankomo
katibu CUF (W) Tarime
5. Rose Peter
mwenyekiti vijana ACT (W) Ilala.
6. Nabii Andrew
Msanii wa nyimbo za kuhamasisha chadema.
7. Emmanuel Kitundu
Afisa tawala ACT Makao Makuu
8. Wilfred Noel Kitundu
Mwenyekiti (M) Singida
9. Namamia John Wazae
Mwenyekiti (W) Singida Mjini.
10. Mch. Lip Loth Robert
Katibu (M) Singida
11. Robert Gwanchele
Alikuwa katibu wa mkoa ACT mkoa wa Mwanza.
12. Ramadhan Itenya
Alikuwa mwenyekiti ngome ya vijana ACT - MKoa wa Mwanza na pia aligombea ubunge ACT jimbo la Bunda Vijijini
13. Julius Kambarage
Muasisi wa ACT jimbo la Butiama na mgombea ubunge 2015 jimbo la butiama kupitia ACT.
14. Jackob Mosha
Mwenyekiti BAVICHA kata ya Mabibo
15. Mwantum Mgonja
Afisa Sheria ACT makao makuu.
Hiyo CDM ni SACCOS na mwaka huu ndio tunavyunja sasa tunakula wachache tuu
Hiyo sio sababu, na yume wa cuf je? acheni kuwafanya wezenu watumwa.hizo siasa za kishamba sana.Toeni MAMVI
Unayo hela ya kumlipa au unaongea tuToeni MAMVI
Aahh mbn unahasira, hebu eleza yDuh mbona ACT atabaki zitto peke yake. Ila mwisho wa yote CCM ni chama cha watu wajinga wajinga tu.
Kuna cdm wangapi walohama hapo mkuu
Hiyo CDM ni SACCOS na mwaka huu ndio tunavyunja sasa tunakula wachache tuu
HAPANA UMEKOSEA TENA SANAtukifanya uchaguzi leo kuna uwezekano chadema ikabaki kwa Lisu na Rema tu
Huu ni upepo utapita, hata CCM 2015 watu wengi sana walihama lakini hao hao wakaanza kurudi.
Acha waende tu!wanafata mpunga huko lkn naskia wanakutana n'a mpunga tofauti waliyohaidiwa,kuna jamaa mmoja alitoka cdm kwenda ccm alihaidiwa kupewa Mln 50 akahama,alipokwenda kwenye ac yke kucheki akakutana na Mln1,Huu ni upepo utapita, hata CCM 2015 watu wengi sana walihama lakini hao hao wakaanza kurudi.