zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Haikushiriki!
Ya Uzini iliwatosha. Kwi kwi kwi teh teh teh.
Haikushiriki!
Ushindi wa 0.7% siku hizi ni ushindi wa kishindo???!!!!!!
Acha uongo, CUF wameshinda ila Mabwepande wametangazwa washindi kwa 50.7% huku CUF wakipewa 48.2% na vyama vilivyobaki asilimia iliyobakia. Yaani ni kama Maalim Seif na Dr. Shein mwaka juzi. Halafu baada ya hapo askari wa Mabwepande wakaanza kupiga mabomu wananchi waliowapigia kura! Yaani, ni kama vile Bubu-bu hakuna binadamu ila ni Zinjathropus tu!Mgombea wa ccm katika uchguzi mdogo jimbo la bububu zanzibar ametangazwa mshindi leo hii kwa kupata asilimia 57 ya kura zote zilizopigwa. Source ni itv habari sa 2 usiku huu
Kishindo ni kishindo tu hata kama ni 0.00001% bado ni kishindo. Hapo kuna ubaya gani?? wakati Baba na Mama walienda sokoni kununua Nyanya, Mama kujisachi kwenye pochi hana hela, Baba akatoa zake kununua, Nyanya zile si zitaliwa na wote??
Mgombea wa ccm katika uchguzi mdogo jimbo la bububu zanzibar ametangazwa mshindi leo hii kwa kupata asilimia 57 ya kura zote zilizopigwa. Source ni itv habari sa 2 usiku huu
Chadema wamepata kura asilimia ngapi?
ccm imeshinda kwa 50.7%
waliogopa aibu nini?
chadema wamepata kura asilimia ngapi?