Kwa hiyo unanishauri nika balance story na gazeti la Uhuru?
Mahaba hupunguza uwezo wa fikiri, mahaba hufanya vipofu wakaona kwa muda, kwa maana nyingine tujifunze kusoma na kuona tusivyovitaka au kuvitarajia.
Kwa hiyo unanishauri nika balance story na gazeti la Uhuru?
Nafikiri kwa mujibu wa gazeti la serikali, tunachosubiri sasa hivi ni kutangazwa kwa tarehe ya uchaguzi tu kwa vile kikatiba tayari uchaguzi umeshafutwa rasmi.
Habari,
Ninazoendelea kuvuja kutoka ndani ya kikao kilichoketi Jumatatu hii na kuhusisha marais wastaafu Mh.Mwinyi, Mh. A. Karume, rais wa Zanzibar Dr. Shein, Balozi Seif na Maalim Seif, zinasema chama cha Mapinduzi Zanzibar kimekubali kuachia madaraka.
"Kilichobaki ni kustahimili kushirikiana na CUF kuunda serikali ya umoja wa kitaifa" alisema mmoja wa wawakilishi kutoka CCM.
Habari zaidi kutoka CCM Lumumba zinasema "hatuwezi kuendelea kupigania kitu ambacho kimeshatutoka. Haya tuache tusonge mbele, kwani dunia nzima inatushangaa."
Habari yako inapingana na habari iliyopo kwenye gazeti la serikali,acha uongo lete habari za kueleweka JF inaheshimika zaidi ya vyombo vyote vya habari unavovijua wewe.
Unachekesha sana unanishauri nisome nisivyovitaka wakati wewe unaidharau source ya Mawio.Mahaba hupunguza uwezo wa fikiri, mahaba hufanya vipofu wakaona kwa muda, kwa maana nyingine tujifunze kusoma na kuona tusivyovitaka au kuvitarajia.
Nafikiri kwa mujibu wa gazeti la serikali, tunachosubiri sasa hivi ni kutangazwa kwa tarehe ya uchaguzi tu kwa vile kikatiba tayari uchaguzi umeshafutwa rasmi.
Nani ---- wewe atakapiga kura don't be a stupid like ur fellows ccm
Hapakua na sababu ya kutumia nguvu nyingi kiasi hicho, kwanza naomba utambue kwamba mimi sio mwanachama wa ccm na sitarajii kuja kujiunga na ccm. Pili kuna vitu ni sheria kikatiba siwezi kuvibadili hata kama sivitaki au sivipendi.
Mfano, mshindi wa urais akishatangazwa na tume hairuhusiwi kuhojiwa na chombo chochote, si pendi na wala siridhiki na ukweli huo lakini kwa vile ndio sheria iliyopo siwezi kubadili hilo.
Hapo nilichokielezea ni kwamba, kama gazeti la serikali limeshatangaza rasmi kufuta uchaguzi ina maana hakuna namna unaweza tena kutumia matokeo ya uchaguzi uliopita kumalizia mchakato wa kumpata mshindi wa urais. Ina maana zoezi lazima lianze upya, na hiyo ni kwa mujibu wa sheria zilizopo vinginevyo watengue huo utaratibu.Ni kweli mimi sio mjinga na wala sio mwana ccm!
Walisema wenyewe wajuvi, nchi iliyopatikana kwa mapinduzi haiachiwi kwa karatasi!!!!
Zanzibar hawaendi kokote, watu wanaota, mtakuja kuona kitakachotokea. Uchaguzi utafanyika baada ya miezi mitatu full stop. People should grow up Tanzania haikuota kama uyoga.
kwa taarifa yako tu mawio linasomwa na watu wengi na ikichelewa kulinunua unskuta limeisha mzee upo hapo!
WEWE KUMBE HUJAMSIKIA HUYU X MWANASHERIA MKUU ANASEMA KITU GANI KUHUSU HAYO ULIYOYAANDIKA
MSIKILIZE KJWA UTULIVU HAPA https://www.youtube.com/watch?v=hNoSZggJ_Ag