johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,012
- 142,046
Mwenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama kimepokea kwa mshtuko taarifa ya ajali mbaya iliyowahusisha Wasanii Belle 9 na Bonge la nyau.
Polepole amewatakia uponyaji wa haraka na kwamba chama kinafuatilia kwa karibu tukio na chanzo cha ajali hiyo.
Source Ayo tv
Maendeleo hayana vyama!
===
Wasanii Lulu Diva, Belle 9 na Bonge la Nyau wamepata ajali ya gari alfajiri ya Septemba 07, Chalinze Pwani safarini kuelekea Dar, Lulu amethibisha na kusema “Nimeumia kichwani nimevimba ila Belle 9 kaumia zaidi amewaishwa Hosp. Bonge la Nyau kaumia ila kiasi”
PIA SOMA:
- Polepole atangaza CCM kusimamia matibabu ya Wasanii waliopata ajali
Polepole amewatakia uponyaji wa haraka na kwamba chama kinafuatilia kwa karibu tukio na chanzo cha ajali hiyo.
Source Ayo tv
Maendeleo hayana vyama!
===
Wasanii Lulu Diva, Belle 9 na Bonge la Nyau wamepata ajali ya gari alfajiri ya Septemba 07, Chalinze Pwani safarini kuelekea Dar, Lulu amethibisha na kusema “Nimeumia kichwani nimevimba ila Belle 9 kaumia zaidi amewaishwa Hosp. Bonge la Nyau kaumia ila kiasi”
- Polepole atangaza CCM kusimamia matibabu ya Wasanii waliopata ajali