Hata mm nina card ya chadema nairudisha leo!
Hii alipaka mnyika.
Mbona mnaogopa vivuli vyenu wenyewe? Tulieni watoto moto bado haujawashwa.
wao wanaletwa, sisi wanakuja wenyewe
CDM sio wasanii na pia hawana muda wa hivyo hatuwezi kutumia fedha ya wananchi wanayotuchangia kwa kufanyia mambo ya kipuuziHata cdm si pia mnawalipa mamluki nani hajui ,,,,, kwa hiyo ngoma droo
Wewd si ulipigwa ban ya maisha?
Waulizeni viongozi wenu ruzuku wanapeleka wapi? Au ndio wanazotumia kujilipa posho na kujengea mahawala zao majumba? Chama kinashindwaje kuwabeba wachaga kutoka kimara hadi jangwani lakini kiweze kumpa mkataba wa kifisadi Josephine yule hawala wa Slaa?
Hawa watu Diamond, Marlaw, Frola Mbasha wako kibiashara na siyo uzalendo.
Utu wa watu unanunuliwa kwa t shirt na kofia, kanga nazo ......
na ukiangalia sana hawa watakua wakwere wenzake ambao bado wanamuamini huyu kilaza, na pilao wasisahau jameni
Wakuu nimepita magomeni sehemu nafanya service gari yangu nimezipata hapa nyepesi nyepesi kwamba zimechapishwa kadi nyingi sana zinazofanana na za CHADEMA zimegawiwa kwa watu kibao, wakati wa Mkutano wa CCM leo hao watu watajifanya ni wanachama wa CHADEMA waliochoka na udini na ukabila ndani ya CHADEMA hivyo wameamua kujiunga na CCM. Subirini mtaona hiki kituko baadaye.
Waulizeni viongozi wenu ruzuku wanapeleka wapi? Au ndio wanazotumia kujilipa posho na kujengea mahawala zao majumba? Chama kinashindwaje kuwabeba wachaga kutoka kimara hadi jangwani lakini kiweze kumpa mkataba wa kifisadi Josephine yule hawala wa Slaa?
Poa mkuu!SAfi sana upepo wa maisha bora umeshakufikia,wewe na familia yako mko vizuri,rudisha kadi hiyo ukale bata wewe na familia yako.