GE2025 CCM yampitisha Salum Kinyoro 'Kibakuli' kuwania ubunge wa Jimbo la Handeni Mjini

GE2025 CCM yampitisha Salum Kinyoro 'Kibakuli' kuwania ubunge wa Jimbo la Handeni Mjini

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Kayugumis

Senior Member
Joined
Jun 6, 2022
Posts
140
Reaction score
126
WhatsApp Image 2025-07-29 at 15.39.16_78d927bb.jpg
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimempitisha mfanyabiasha maarufu Salum Kinyoro 'Kibakuli' kuwania ubunge wa Jimbo la Handeni mjini.

Salum atachuana na wagombea wengine watano.

Katibu wa Itikadi na Uenezi, Amos Makala ametangaza majina hayo leo Julai 29, 2025.
WhatsApp Image 2025-07-29 at 15.39.17_b0489bd4.jpg
 
Back
Top Bottom