Ccm safari ya kufa Imewadia wanapita. Kutoa buriani nchi nzima
Hivi hamushangai wananchi kila mahala wanalalamika dhidi ya viongozi wao kwa kutowatendea haki? Viongozi hao si wa upinzani ni hao hao wenzake kinana.Hii inaashiria kufeli kwa system nzima ya CCM.UFISADI UNAWAUMBUA
Kazi yao wizi na uongo
Wananchi washawastukia.
Eti Kinana anawakemea mawaziri,umeona wapi wewe mtendaji mkuu wa chama kuosimamia serikali na kutowa amri.
"SO LONG CCM"
nyie ni ukawa ua ex chadema