CCM yameguka

CCM yameguka

Ccm safari ya kufa Imewadia wanapita. Kutoa buriani nchi nzima
Hivi hamushangai wananchi kila mahala wanalalamika dhidi ya viongozi wao kwa kutowatendea haki? Viongozi hao si wa upinzani ni hao hao wenzake kinana.Hii inaashiria kufeli kwa system nzima ya CCM.UFISADI UNAWAUMBUA
Kazi yao wizi na uongo
Wananchi washawastukia.
Eti Kinana anawakemea mawaziri,umeona wapi wewe mtendaji mkuu wa chama kuosimamia serikali na kutowa amri.
"SO LONG CCM"

nyie ni ukawa ua ex chadema
 
Kinana anawatoa makamasi,..mtaisoma,namba mwaka huuu
Kinana kanyaga twende Comrade
Pamoja na kumsifia angalia vizuri utaifa wake, anaweza kuhamia popote baada ya kutimiza lengo lake na kuiacha tz kama toilet paper.
 
Hayawi hayawi yamekuwa habari za ndani kabisa zunadai CCM imeshameguka na kuna mivutano inayotokana na makundi na mitandao inayoelekea kutaka kuweka mtu wao kugombea Uraisi ,Kumbe ile mbinu ya Kinana na Nape kuzunguka nchi ni moja ya mbinu na mikakati ya kujijenga mmoja kati yao ni mgombea mtarajiwa ,tayari wameshasitukiwa na ziara zao zimeanza kupigwa mikwala na kutiliwa shaka kwa sababu za kufanya ubadhirifu wa hela za chama na pia kutumia baadhi ya mambo na vifaa vya serikali ikiwemo magari.

Na waliondani wamesema sasa hivi hali ni mbaya kifedha ,pia kumekuwa na kudharauliana na kubaguana ,pia kuna baadhi ya vigogo huenda wakatimkia vyama vingine vya siasa ,wakikiacha CCM kikiwa kwenye mtafaruku.
Dua la kuku!
Mwewe anaendelea kupaa!
 
Hadithi hadithi....hadithi njoo uongo njoo.....haya tuletee na uongo mwingine....
Hayawi hayawi yamekuwa habari za ndani kabisa zunadai CCM imeshameguka na kuna mivutano inayotokana na makundi na mitandao inayoelekea kutaka kuweka mtu wao kugombea Uraisi ,Kumbe ile mbinu ya Kinana na Nape kuzunguka nchi ni moja ya mbinu na mikakati ya kujijenga mmoja kati yao ni mgombea mtarajiwa ,tayari wameshasitukiwa na ziara zao zimeanza kupigwa mikwala na kutiliwa shaka kwa sababu za kufanya ubadhirifu wa hela za chama na pia kutumia baadhi ya mambo na vifaa vya serikali ikiwemo magari.

Na waliondani wamesema sasa hivi hali ni mbaya kifedha ,pia kumekuwa na kudharauliana na kubaguana ,pia kuna baadhi ya vigogo huenda wakatimkia vyama vingine vya siasa ,wakikiacha CCM kikiwa kwenye mtafaruku.
 
Akilogwa aoneshe tu nia aone kama mpaki kijiji chake pale somalia hakajatajwa na kama haamini amwulize salim au jen ulimwengu.chezea ccm wewe?
 
Mimi nadhani huyu mzee anafanya kazi nzuri sana kwa chama chake. Kwa muda mrefu chama kilikuwa hakisikiki mpaka watu wakadhani kuwa kazi za majukwaani ni za wapinzani pekee. Kazi kubwa ambayo amekuwa akifanya ni kutenganisha chama na serikali hasa kwenye utekelezaji wa ahadi za chama. Yaani chama kinaguswa na matatizo ya wananchi na kinasimamia ahadi zake za wakati wa kampeni ila kinakwamishwa na utendaji serikali hasa mawaziri mizigo. Wananchi wakimwelewa kwa hili basi wapinzani wana kazi kubwa mwakani.
 
Huu muda mnaopoteza kuishambulia CCM.
Imarisheni UKAWA, waambieni na wananchi kwanini wawaamini, na waulizeni kwanini wanawaona ni matapeli. CCM sio saizi yenu.
...mbende mbende tayari...
 
Kinana na presidential candidate, nilipost humu tetesi hii mods waka iondoa!
 
Utendaji wa Kinana umeongeza sana kasi ya kupendwa kwa CCM. Mungu ampe maisha marefu Komredi huyu!
 
Back
Top Bottom