CCM yameguka

CCM yameguka

Kuna siku niliuliza, hivi Kinana kweli anafanya haya kwa faida ya nani?? CCM!!? No way! Ingawa siamini kama ana hiyo nguvu na uwezo wa kupata nafasi hiyo nyeti ukizingatia asili yake na politics za siku hizi za kugawa Watanzania ambazo CCM wameziasisi wenyewe bado naamini huyu bwana yupo hapo kumsafishia mtu njia.
 
Huu muda mnaopoteza kuishambulia CCM.
Imarisheni UKAWA, waambieni na wananchi kwanini wawaamini, na waulizeni kwanini wanawaona ni matapeli. CCM sio saizi yenu.

Umeshaufyatua mkuu?
 
Back
Top Bottom